Subiri wajuzi wa masuala ya ndevu walete mrejeshoLicha ya watu hawa wengi kubarikiwa urefu, miili yenye nguvu na ujasiri lakini kwenye suala la kuwa na ndevu kuna kipengere
wapo wenye chache, wengine wanazo kwa mbali, wengine hawana kabisa.
Hali hii huenda inatokea kwajili gani?
wamasai sauti zao ni nyembamba hata wazee wana sauti nyembamba ,kingine hawa wakizeeka wanakuwa na macho chongo karibia aslimia kubwa yao.
wamasai hawana walemavu sijui wanawauwa ...Ile kung'olewa jino nilishawahi kuona mkomazi wanawang'o watoto wadogo
Kumbe !!Hii ya kung'oa ni imani yao kuwa akiugua endapo mdomo utagoma kufubguka ndio msosi unapitishiwa hapo.hiyo ya vilema zaman akizaliwa wanaenda wazee kukagua akikutwa ni mlemavu wanamaloza kimya kinya .hii hata uchagani zamani ilikuwepo mtoto alizaliwa kama hayuko sawa mwili au ngozi (alibino)wanamaloza hapo hapo kinya kinya
fungukaKumbe !!
Vip kuhusu ulemavu wa macho maan wazee wengi ni chongo ? nilikuja kumuuliza baba ila jibu nilipewa nilishangaa.Baba kazliwa na kukulia kwa wamasai na wapare anawajua mwanzo mwisho ila jibu alinipa nilishangaa sana.
Aliniambia eti ni yale Makatambuga yale maviatu ya matairi ya gari wanayovaa ndo yanahusiano na matatizo ya macho .funguka
Kumbe !!
Vip kuhusu ulemavu wa macho maan wazee wengi ni chongo ? nilikuja kumuuliza baba ila jibu nilipewa nilishangaa.Baba kazliwa na kukulia kwa wamasai na wapare anawajua mwanzo mwisho ila jibu alinipa nilishangaa sana.
Aliniambia eti ni yale Makatambuga yale maviatu ya matairi ya gari wanayovaa ndo yanahusiano na matatizo ya macho .Alikuambia nini
Unataka kusema protini iliyopo kwenye nyama tunazokula kila siku huku msoma haitoshi?Pia vyakula watu wa ukanda huo wanakosa vyakula vya bahari ambavyo ni rich in proteins pia
Mind you nywele ni protein
Wamasai wako mara siku hizi?Licha ya watu hawa wengi kubarikiwa urefu, miili yenye nguvu na ujasiri lakini kwenye suala la kuwa na ndevu kuna kipengere
wapo wenye chache, wengine wanazo kwa mbali, wengine hawana kabisa.
Hali hii huenda inatokea kwajili gani?
Soma vizuriUnataka kusema protini iliyopo kwenye nyama tunazokula kila siku huku msoma haitoshi?
Pia mbona samaki wapo mkuu!