ledada
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 17,465
- 67,478
Zile kona mkuu.asa hichi kipande kinakukera nini
Zile kona mkuu.asa hichi kipande kinakukera nini
Zile kona mkuu.
Binge la. Starehe hapa hutamani safari iisheKipande cha mafinga-makambako dadekii.
Mikumi mjini to MbuyuniWasalaam
Najaribu kupata uzoefu toka kwa wadau!
Binafsi hufanya safari za Mara kwa Mara kwa barabara! Katika safari zangu za mkoa wa Rukwa safari yangu huwa inaingiwa na ukakasi nikishafika Mbeya Mjini nikianza kuitafuta Tunduma.
Sijui wewe mdau kipande gani kinakutesa kutokana na Barabara kutokuwa rafiki na hali ya safari kwa ujumla
Na zile kona za mlima nyang'oro zilivyo nyingi ndo kabsaaa.Mtera to iringa mjini[emoji19]
Huwa nikifika hapo natamani kukibeba kimkokoteni changu maana utadhani ni barabara chafu iliyotupwa sehemu . Kama nguo basi ni dekiomagu to lamadi
Wasalaam
Najaribu kupata uzoefu toka kwa wadau!
Binafsi hufanya safari za Mara kwa Mara kwa barabara! Katika safari zangu za mkoa wa Rukwa safari yangu huwa inaingiwa na ukakasi nikishafika Mbeya Mjini nikianza kuitafuta Tunduma.
Sijui wewe mdau kipande gani kinakutesa kutokana na Barabara kutokuwa rafiki na hali ya safari kwa ujumla
True!Kwa kuwa naenda sana Kilimanjaro, ile kipande baada ya kutoka hotelini hadi kufika same panaboa sana hasa ukiwa idle tu. Kwa kurudi ni Segera mpaka kuipata Wami. Unaweza hisi umeshinda siku nyingine kwenye gari!
Nadhani msimamizi wa barabara wa mkoa wa mwanza wa kipindi hicho anatakiwa akamatwe. Maana hata kipande cha kutoka mpaka wa shinyanga hadi misungwi kinaboa sanaHuwa nikifika hapo natamani kukibeba kimkokoteni changu maana utadhani ni barabara chafu iliyotupwa sehemu . Kama nguo basi ni dekio
Nadhani msimamizi wa barabara wa mkoa wa mwanza wa kipindi hicho anatakiwa akamatwe. Maana hata kipande cha kutoka mpaka wa shinyanga hadi misungwi kinaboa sana
Yanaboa sana hayo maeneo, na ni mwendo wa masaaKipande nisichokipenda niwapo safarini
Ni kutoka igunga..singida..dodoma daah yaani adi jioni kama sio usiku unakukuta ujamaliza eneo hilo
Kipande nachopenda ni Kutoka babati mbelembele kuitafuta singida