Kiongozi wa nchi kutuambia Wananchi kuwa Mawaziri na Makatibu wa Wizara Wanagombana kuna faida gani Kimaendeleo?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,647
109,036
Sasa kama Wewe Kiongozi umeshindwa Kuwapatanisha wakati Unawamudu na ndiyo Umewateua kuwa hapo kwa Kukurupuka Kwako pasi na kuwafanyia Vetting au Kutokubali Ushauri wa Wasaidizi wako unataka Sisi Wananchi tuseme nini?

Hebu acheni Kutusanifu Wananchi.
 
FB_IMG_16775183966350430.jpg
 
Back
Top Bottom