GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,647
- 109,036
Sasa kama Wewe Kiongozi umeshindwa Kuwapatanisha wakati Unawamudu na ndiyo Umewateua kuwa hapo kwa Kukurupuka Kwako pasi na kuwafanyia Vetting au Kutokubali Ushauri wa Wasaidizi wako unataka Sisi Wananchi tuseme nini?
Hebu acheni Kutusanifu Wananchi.
Hebu acheni Kutusanifu Wananchi.