Kiongozi bora ni yupi basi?

Asilimia 80 ya wapiga kura mwaka 2005 walimuona JK ni kiongozi "bora".... walikosea wapi?

Hawakukosea...watakosea kumchagua tena 2010..kwani tulivyo kuwa tunaviitaji ndicho alichotuambia(He said what want to hear)sasa kwa sababu hajafanya kile tulichotaka kusikia na kutendewa...basi ni makosa kumchagua tena.

Tumwacha akapumzike na kulea watoto wake....atakuwa kaondoka kama rais mstaafu...mwenye record nzuri ya kutembea nchi nyingi...atakuwa na marafiki wengi wacheza hata kikapu.
Ila sasa kuchagua mbowe ndio itakuwa kosa kubwa sana.
 
Mistook being ''cool'' for being able.

kwa hiyo ability haihusiani na u "cool" wa mtu? Lakini alikuwa anazungumza vizuri, anakusanya maelfu ya watu na maneno yake yalikuwa yanapagawisha watu.... hivi havimfanyi kuwa kiongozi bora?
 
kwa hiyo ability haihusiani na u "cool" wa mtu? Lakini alikuwa anazungumza vizuri, anakusanya maelfu ya watu na maneno yake yalikuwa yanapagawisha watu.... hivi havimfanyi kuwa kiongozi bora?

Watu wanazimia mbele ya hotuba za Obama.....dizaini watu walikuwa wakiishiwa nguvu wanapomwona Kikwete....kuchonga domo sio uongozi bora....kwa bahati mbaya watu wengine hudhani hivyo (ingawa sidhani kama Kikwete ni mzungumzaji mzuri. Labda na yeye akianza kutumia prompter ata improve)
 
kwa hiyo ability haihusiani na u "cool" wa mtu? Lakini alikuwa anazungumza vizuri, anakusanya maelfu ya watu na maneno yake yalikuwa yanapagawisha watu.... hivi havimfanyi kuwa kiongozi bora?


I can see where you are heading MKJJ.....Ha ha ha read between line...
 
Hivi ni lini na wapi Kikwete kabla ya kuwa raisi alionyesha kujali watu wa kawaida? Ni wapi na lini aliweka maslahi ya taifa mbele kuliko yake binafsi? Ni lini alikemea ufisadi, si kwa maneno tu bali vitendo?
 
hujaona picha ile anatembea kwenye maji na miguu mitupu... akionesha kuwa yeye ni "mwenzetu"..
 
Kwa hiyo mnataka kusema kuwa kiongozi bora kabla ya kuwa kiongozi anakuwa na rekodi inayopimika? Sasa mtu hawezi kuanzia 0 na kuwa kiongozi bora au hadi awe na rekodi inayopimika? Na katika rekodi hiyo ni vitu gani vitakuashiria kuwa huyo mtu ni kiongozi bora?


Mzee Mtu mzima what are you up to?...just curios
 
Nilijiuliza swali kama hili .
Jibu nililopata kwa hapa Tanzania na kwa wakati huu tulio nao wa mambo Ya Ufisadi na kadhalika.
Nchi yetu ina hitaji TYRANT.
 
Kiongozi bora anatakiwa awe msema kweli, asiwe na makundi, aweke mbele maslahi ya nchi yake na wananchi wake kuliko ya mtu mwingine yeyote, asiwe fisadi na mpenda utajiri wa haraka haraka, awe na ujasiri, asiwe muoga wa kupambana na yeyote yule anayetaka kuathiri maendeleo ya nchi na wananchi wa nchi inayoongozwa na kiongozi huyo.
 
Ninapozungumzia kiongozi haina maana ya "Rais" tu.. nazungumzia kiongozi katika ujumla wake. Naona mwelekeo wa mada unamnyemelea Kikwete sana, nafikiria wabunge, na watumishi mbalimbali wa umma na hata sekta binafsi.
 
:

- Listens
- Knows the problem
- distinguish senses from non senses
- leads and not drive
- stresses the positive
- understands from others point of view
- admits and learns from mistakes
- never repeat mistakes
- cost effective
- accountable
- adhere to rule of law
 
:

- Listens
- Knows the problem
- distinguish senses from non senses
- leads and not drive
- stresses the positiveu
- understands from others point of view
- admits and learns from mistakes
- never repeat mistakes
- cost effective
- accountable
- adhere to rule of law


now you are talking... unaweza kufafanua kila mojawapo japo kwa kidogo? "Listens" to what or who and why? ...
 
now you are talking... unaweza kufafanua kila mojawapo japo kwa kidogo? "Listens" to what or who and why? ...


hii abstract nadhani inatosha as a food for thought maana wadogo zako huku wananihitaji.....

For example....Listens to the people, what are the views and perception about his leadership. Listens to the peoples problems. Kwa mfano mtendaji kata inambidi kusikiliza matatizo ya anaowaongoza, baada ya kuyasikiliza anatafutie ufumbuzi kwa kadri ya uwezo wake. Pia ni lazima awasikilize hao anawaongoza wanasema nini kuhusu yeye, kwamba ni kiongozi mzuri, au wapi anakosea, wapi anatetereka, wapi amesahau, wapi amekwenda beyond limits na mengine mengi.
 
Mi naona kwa tanzania viongozi wanaosikiliza tu tunao kuanzia ngazi mtaa hadi Kitaifa, nadhani tunahitaji kiongozi watekelezaji so kwangu mimi kiongozi bora ni yule anayetekeleza au kufuatilia utekelezaji wa mambo kwa manufaa ya Tanzania.
 
Uongozi wa bin-adam unaanzia nyumbani kwake na maisha yake binafsi, kama hili haliko sawa mengine yote bure,

na believe me ukifuatilia vizuri sheria hii basi viongozi wetu taifa, karibu 98% CCM mpaka upinzani, wanatakiwa kuwa waongozwa lakini sio kwenye usukani kama walivyo.

Ahsante.
 
swala la kiongozi mzuri tanzania ni swala gumu,any president itabidi in one way or onother,must dance to the tunes of the ruling classes.anaingia madarakani akiwa na nia nzuri ya uongozi,but hey presto!!!! the reality bites in,na kazi yake iwe angalau he has to step in line.Haya mambo yamekuwa wazi sana recently hizi various scandals zinaishia dead end because indirectly the proceeds zilisaidia elections etc,etc.one could be a good president but what if means to put you in place,came as a result of misdeeds,there is no way for u to say from now onwards its gonna be a clean sheet cause the people who helped you get there will come back asking for favours
 
Hata kama atokee ghafla from no where, as long as anafata kanuni, masharti ya kazi, kiapo chake na ni mwenye kupenda maendeleo yake na yale ya jamii yake, haijalishi; huyo atakuwa ni mwenye sifa ya kiongozi bora.

Sawa kabisa.

1.Na je wanaoongozwa watamkubali kiongozi wa namna hii kwa kiasi gani ukizingatia attitudes za watu kuhusu mambo mbalimbali kama kufanya kazi kwa bidii, rushwa,umwenzetu syndrome n.k.?
2. Ubora wa kiongozi nani anaamua huyu ni bora au si bora?
 
Back
Top Bottom