Kiongozi bora ni yupi basi?

Kiongozi bora ni yupi basi?

Habari wakuu,

Sisi sote ni watanzania, mtu kuwa kiongozi hata mimi na wewe tunaweza kuwa viongozi.

Inawezekana kuna baadhi ya viongozi hawajitambui, maana kutokujitambua hakuchagui mtu kuwa yeye ni nani!!

Najua huwa wanachunguliaga humu JamiiForums, maana hawana job description.

Hebu tuwaonee huruma kwa kuorodhesha sifa za mtu kuwa kiongozi zinakuwaje!!!!

Pengine watashituka na kujiongeza na kujitambua kuwa wananchi wanaangaika huku kwasababu ya kutokufanya kazi tulizowatuma watuwakilishe.
 
Wanabodi hapa JF najua mmebobea katika mijadala.

Hilo ndilo swali langu?
 
Koti likikubana unaachana nalo unavaa koti lingine (in Abeid Karume's voice).
 
Kitanda chenye kunguni unakitelekeza, hii ndo busara.
Ni vigumu sana kusukuma gari ukiwa umekaa ndani yake
 
  • Honesty and Integrity. ...
  • Inspire Others. ...
  • Commitment and Passion. ...
  • Good Communicator. ...
  • Decision-Making Capabilities. ...
  • Accountability. ...
  • Delegation and Empowerment. ...
  • Creativity and Innovation.
He has none of the above and people are expecting miracles from this fella!!!
😡😡😡
 
Hizo sifa zote hapo,raisi wetu JPM anazo.
 
  • Honesty and Integrity. ...
  • Inspire Others. ...
  • Commitment and Passion. ...
  • Good Communicator. ...
  • Decision-Making Capabilities. ...
  • Accountability. ...
  • Delegation and Empowerment. ...
  • Creativity and Innovation.
Hizo ni Qualities za a good leader kwa mujibu wa wazungu, kama ilivyo demokrasia yao, kuwa ni serikali ya watu, inayoongozwa na watu kwa ajili ya watu, but not in Africa. Kule leaders are selfless, viongozi ni watu waliojitosheleza na wanagombea uongozi ili kutumikia watu, kuwa watumishi wa watu, huku Africa, watu wanagombea uongozi ili kuukwa, kukamata madaraka, ukubwa na ulaji, sio ili kutumikia watu bali uabudiwe, unyenyekewe, usifiwe.

Africa hatuhitaji leaders kutuongoza, we just need rulers to rule, yaani tunahitaji watawala tutawaliwe. Rais Magufuli ni mtawala anatutawala.

Demokrasia yetu ni serekali yangu, inayoongozwa na mimi kwa ajili yangu, na watu wangu na chama changu na walionichagua!.

Ni kufuatia haya mambo ya kuendekeza good leadership na good governance ndio yametufikisha hapa, sasa tuko kwenye Tanzania ya Magufuli na Dar es Salaam ni jiji la Makonda,
hatuhitaji hizo qualities, tunataka maendeleo, mambo yaende hata ikibidi kwa mijeledi, mambo ya kubembelezana hakuna tena, siasa hakuna, hapa ni kazi tuu!. Hii ndio Tanzania ya Magufuli.

Magufuli ni Dikiteta!, Tanzania Ilihitaji Dikiteta, Tumempata!. Atakayeleta Fyoko, Ataisoma Namba!
P
 
Nyumbu mpaka 2025 mtakuwa mmekuwa wekundu kwa hasira!
 
Hizo ni Qualities za a good leader kwa mujibu wa wazungu, kama ilivyo demokrasia yao, kuwa ni serikali ya watu, inayoongozwa na watu kwa ajili ya watu, but not in Africa. Kule leaders are selfless,
Africa hatuhitaji leaders kutuongoza, we just need rulers to rule.
Demokrasia yetu ni serekali yangu, inayoongozwa na mimi kwa ajili yangu.

Ni kufuatia haya mambo ya kuendekeza good leadership na good governance ndio yametufikisha hapa, sasa tuko kwenye Tanzania ya Magufuli na Dar es Salaam ni jiji la Makonda,
hatuhitaji hizo qualities, tunataka maendeleo, mambo yaende hata ikibidi kwa mijeledi, mambo ya kubembelezana hakuna tena, siasa hakuna, hapa ni kazi tuu!. Hii ndio Tanzania ya Magufuli.

Magufuli ni Dikiteta!, Tanzania Ilihitaji Dikiteta, Tumempata!. Atakayeleta Fyoko, Ataisoma Namba!
P

Hivi siku hizi unakula maharage ya wapi? Naona taratibu yanapanda kichwani,akina Msiba wapo wengi sana kwwnye hii nchi, Kiufipi Pachal unakera, jnahaibisha na njaa kamwe haitakufikisba sehemu nzuri, jifunze kifumba mdomo..
Wazungu unaowananga unalingana nao kwenye nini???
 
Hivi siku hizi unakula maharage ya wapi? Naona taratibu yanapanda kichwani,akina Msiba wapo wengi sana kwwnye hii nchi, Kiufipi Pachal unakera, jnahaibisha na njaa kamwe haitakufikisba sehemu nzuri, jifunze kifumba mdomo..
Wazungu unaowananga unalingana nao kwenye nini???
Ukinisoma taratibu with an open mindedness utanielewa, otherwise, pole kwa kukutoa kapa!.
P
 
  • Honesty and Integrity. ...
  • Inspire Others. ...
  • Commitment and Passion. ...
  • Good Communicator. ...
  • Decision-Making Capabilities. ...
  • Accountability. ...
  • Delegation and Empowerment. ...
  • Creativity and Innovation.
He has none of the above and people are expecting miracles from this fella!!!
😡😡😡
Magufuli zero marks kwenye huyo yeye ni show off tu
 
Back
Top Bottom