BIN NUN
JF-Expert Member
- May 23, 2014
- 4,070
- 8,391
Sijui sijakuelewa au tatizo ni kubase sanaa katika sayansi.Hizo ni Qualities za a good leader kwa mujibu wa wazungu, kama ilivyo demokrasia yao, kuwa ni serikali ya watu, inayoongozwa na watu kwa ajili ya watu, but not in Africa. Kule leaders are selfless,
Africa hatuhitaji leaders kutuongoza, we just need rulers to rule.
Demokrasia yetu ni serekali yangu, inayoongozwa na mimi kwa ajili yangu.
Ni kufuatia haya mambo ya kuendekeza good leadership na good governance ndio yametufikisha hapa, sasa tuko kwenye Tanzania ya Magufuli na Dar es Salaam ni jiji la Makonda,
hatuhitaji hizo qualities, tunataka maendeleo, mambo yaende hata ikibidi kwa mijeledi, mambo ya kubembelezana hakuna tena, siasa hakuna, hapa ni kazi tuu!. Hii ndio Tanzania ya Magufuli.
Magufuli ni Dikiteta!, Tanzania Ilihitaji Dikiteta, Tumempata!. Atakayeleta Fyoko, Ataisoma Namba!
P
Sijui ndo lugha ya kisiasa au ya kudokoa habari.
La sivo ntakuwa na kichwa kigumu au ntakuwa nafikiria zaidi ya zaidi.