ISO M.CodD
JF-Expert Member
- Feb 17, 2013
- 8,076
- 17,463
Lack of creativity and innovation in romance! Ilo ndo tatizo haswa
Lack of creativity and innovation in romance! Ilo ndo tatizo haswa
Wengine tunakula saiz jamanii, We unaweza kunywa mate ya mtu...?
Na usafi nao unahusika pia !mdomoni kuwe kusafi meno meupe ,ulimi msafi na hakuna ile harufu mbaya ,huwezi kula denda na mtu aliyekunywa kangara au aliyekula hiiView attachment 151991
bora ninyonye dushelele kuliko kunyonya mate. staki maswali.
Kinyaa kwetu tusiojua uhondo cheki hawa *****....
View attachment 152133 View attachment 152134 View attachment 152136 View attachment 152137
Huyo jamaa hapo chini mbona anafanana na kigwangwala?
hahahahahahahahah,,,, i"m dead
hiyo ya mwisho inatisha ni vampires unampa denda anaondoka na ulimiKinyaa kwetu tusiojua uhondo cheki hawa *****....
View attachment 152133 View attachment 152134 View attachment 152136 View attachment 152137
hahahah nanii kakwambia?tena mkizoeana ndo mnanyonyana mpaka pua! Ni mtazamo tukumbeee! mkizoena hamnong'onezani midomoni jamani,mmmh!
jamani..! hii lugha ilikuja kwa mashua tena kwa monsoon winds jamani! lols..
Bado ni fresh tu ila kama hapigi mswaki mkimaliza kula hapo lazma usikie kinyaa kwani unaweza ukazungusha ulimi ukawa unaibuka na matamahuluku ya misosi.Mara punje za wali ganda la marage vitawi vya mchicha etc
hahahah nanii kakwambia?tena mkizoeana ndo mnanyonyana mpaka pua! Ni mtazamo tu
Mimi ni #TeamKinyaa