pe.livinuu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2013
- 502
- 114
Hata kipande cha godoro kikijaa maji kakita nyonya tena...Ni kitu cha kushangaza kidogo lakini kipo na kitaendelea kuwepo ,wakati wa penzi changa mapenzi huwa motomoto kwelikweli mtanyonyana kila mahali na hamchoki hata
lakini jinsi mnavyoendelea kuzoeana na pengine kuishi pamoja ile ladha tamu ya mate ya nwenzi wako hupotea kabisa na hata wengine kuona ni kinyaa kunyonyana tena
Huwa najiuliza tu ninini kinatokea ?
Hutaki maswali lkn nakuuliza hivi dushelele lina ladha gani..bora ninyonye dushelele kuliko kunyonya mate. staki maswali.
Mkuu kikombe ni kikombe na mdomo ni mdomo...Kwani wakati wa mapenzi motomoto yale mate ya mpenzi wako uayonyonya yakiwekwa kwenye kikombe unaweza kunywa?
Hahahahhhh duuu eti matamahulukuBado ni fresh tu ila kama hapigi mswaki mkimaliza kula hapo lazma usikie kinyaa kwani unaweza ukazungusha ulimi ukawa unaibuka na matamahuluku ya misosi.Mara punje za wali ganda la marage vitawi vya mchicha etc
kumbe hata wazee wengine ni waumin wa hii kitu
Mmmh inaonekana wewe hata mlevi akitapika waweza kunywa.. Loh....Mi napenda denda na demu mla ugoro au aliyetoka kutapika sasa zile chembe chembe za matapish huwa tam kwelikweli hasa akiwa mweusi.