Kinyaa cha tongue kiss

Kinyaa cha tongue kiss

1514645_631119886925709_2005115904_n.jpg
13591_482329001877419_541230571_n.jpg

Africans-and-kissing.jpg
Huyo jamaa hapo chini mbona anafanana na kigwangwala?
 
M nakunywaga mpaka makohozi ya mpendhi wangu! Teh teh teh!
 
Bado ni fresh tu ila kama hapigi mswaki mkimaliza kula hapo lazma usikie kinyaa kwani unaweza ukazungusha ulimi ukawa unaibuka na matamahuluku ya misosi.Mara punje za wali ganda la marage vitawi vya mchicha etc

dah! We noma!
 
Mate matamu yakiwa motomoto ndio maana yanafuatwa humo yanakotoka lakini yakishatoka lazima uyakimbie na akitema mate chini lazima umchukie kwa kukosa ustaarabu.
 
Mate matamu yakiwa motomoto ndio maana yanafuatwa humo yanakotoka lakini yakishatoka lazima uyakimbie na akitema mate chini lazima umchukie kwa kukosa ustaarabu.

kinacholeta hamasa ni mdomo, kwa kuwa mdomo uhifadhi mate , watu hudhani kinachofatwa ni mate...na ndio maana kiss nyingi zinalenga mdomo au maeneo yanayokaribiana na mdomo!!
 
Ni kitu cha kushangaza kidogo lakini kipo na kitaendelea kuwepo ,wakati wa penzi changa mapenzi huwa motomoto kwelikweli mtanyonyana kila mahali na hamchoki hata
lakini jinsi mnavyoendelea kuzoeana na pengine kuishi pamoja ile ladha tamu ya mate ya nwenzi wako hupotea kabisa na hata wengine kuona ni kinyaa kunyonyana tena
Huwa najiuliza tu ninini kinatokea ?

Hapo ndo MICHEPUKO inapokuwa DEAL
 
Back
Top Bottom