COMOTANG
JF-Expert Member
- Jan 6, 2021
- 2,131
- 1,808
U
Una uhakika kuwa huyo Ni msomali?Wasomali tunawachekea Tanzania ipo siku watatuharibia nchi
Una uhakika kuwa huyo Ni msomali?Wasomali tunawachekea Tanzania ipo siku watatuharibia nchi
Acha kabisaMnaojaribu kutuma pesa mnahatarisha hadhi zenu kwenye jamii. Mkikamatwa kwa kufadhili ugaidi itawachukua muda sana kujinasua.
Tuwe makini.
Namba yake kwa sasa itakuwa inafuatiliwa. Ukipiga, ukiSMS, ukituma pesa unaonekana direct kwenye mfumo wa TCRA ule wa Israel. Mtakuja kulia.Wee acha TU
Ni sawa na kujipeleka Kwenye mdomo wa mamba
Ka si gaid n nan mkuu?Sio gaidi huyo ankoo
alitaka kuwa hero kesho a trend kwa newspaperWakuu,kuna video moja jamaa flani hivi watu wanasema ni askari alimfata yule bwana mkubwa kibandani,wakati bwana mkubwa akiwa anarushiana risasi na askari,hivi yule jamaa ambae ni askari aliingiaje pale katikati ya msitu wa risasi,tena kizembe namna ile?
kuna wasenge wanachangamkia fursa wapate followers
Ka si gaid n nan mkuuSio gaidi huyo ankoo
Haha haaMimi nadhani imetumika akili ndogo sana kumuua. mtu alikuwa sehemu ya wazi,kama polisi wangekuwa na snipers, angepigwa risasi kwenye bega lilokuwa na bunduki ,bila shaka angedondoka chini.baadae wangemfuata akiwa hai ili atoe maelezo ambayo yangewasaidia sanaaaa polisi.
ni Tanzania tu ambapo polisi anaua mtu mwenye ushahidi hata kabla hajaupata huo ushahidi. The guy was positioned at a conspicuous place , why not use your stupid blame to catch mim, alive?
Hicho ndio amefundishwa mkuu 'ujasiri'hata kama itakulazimu kufaWakuu,kuna video moja jamaa flani hivi watu wanasema ni askari alimfata yule bwana mkubwa kibandani,wakati bwana mkubwa akiwa anarushiana risasi na askari,hivi yule jamaa ambae ni askari aliingiaje pale katikati ya msitu wa risasi,tena kizembe namna ile?
Ni Gaidi, kwakuwa ni Muislamu mosi, pili ni Msomali, tatu kitendo chake kilikusudia kuogofya hadhila, kusoma dini hata Gwajima alienda kusoma dini, tatizo ni dini gani?Huyu ni Gaidi kwa Mtazamo wangu, alienda Mafunzo ya Dini Misri, kwa Mujibu wa Audio zinazotembea Mitandaoni. Lakini mimi kujificha kwenye Kile Kibanda na Kulenga. Namuona ni Gaidi. Alitoka Baada ya kurushiwa Mabomu ya Majozi pale kama si Gas. Akaamua kutoka. Kwa Mujibu ya Tweet ya Ikulu kaua Askari Watatu na Mlinzi Mmoja wa SGA (kampuni ya Ulinzi).
Officers wawili wapo chini unasema amateur upo timamu kweli?
Polisi wengi wanafanya kazi zao to the best of their abilities.Tatizo hayo mapungufu wanayazidisha
Sasa kwanini uachweHivi kama mimi sio polisi nikawa na pistol yangu hapo nikamlenga nkaua ntashtakiwa.
Nihakiki iki nijitafutie majanga?
Askofu Shoo kaongea kwene mcba wa mamkwe wa Mhe. Mbowe.Mbowe gaidi? nadhani gaidi mnamuona leo
na lenyewe litakuwa sometimes zina charge likaona mateso nitakayopata baada ya hapa ni bora nikauone moto wa akhera tuPumbafu kabisa lieua askari wetu wawili, hili wangelikamata wakalinyoa ndevu kwanza, halafu minya pumbu mpaka aseme nani kamtuma, pumbafff
Wakikuuliza mliuziana Nini, utawajibu niniWakikudaka unawaambia ulikuwa unamdai