Akilinjema
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 11,433
- 11,741
Hao askari waliouawa ni wengi! Wapumzike kwa amani
Yani inahuzunisha sana jamani
Hao askari waliouawa ni wengi! Wapumzike kwa amani
Sio msomali ni mtanzania, mwenye asili ya somaliBado sijafahamu ni vipi huyu mtu anaitwa ni msomali, ivi angeshiriki Olympic na kupata medali ya dhahabu tungelisema ni msomali 🤷♂️ .