Kinondoni, Dar: Hamza mohammed, Polisi Watatu na mlinzi mmoja wauawa katika Majibizano ya Risasi

Hili tukio lingependeza sana kama huyo jamaa angewafyekelea mbali mapolisi wa ccm hata 50 hivi, sijui alikwama wapi tu.
tunafahamu kuwa Chadema nia yao ni kuchafua amani na utulivu wa nchi yetu, lkn kamwe vyombo vya ulinzi na usalama vipo imara na madhubuti.
 
Narudi kwa target aliopigwa,mpigaji ni mjuzi wa shabaha .risasi moja ya kichwa tena naisi imepigwa na mtu aliekua juu.NDUGU ISIKIE TU HIO KITU INAITWA SMG -1954
Kapigwa na Askari waliokuwa Nyuma ya Daladala. Wali ji cover pale. Wakati kageukia upande mwingine askari wa Nyuma yake wakammaliza. Imeniuma kuona Kaua Askari Watatu na Mlinzi wa SGA mmoja. Yule ana Mafunzo, kwa wale mlio angalia Video zote. Kitendo cha Kujificha kwenye Kipanda Cha Polisi Mwishoni na Kuendeleza Mapambano kimenishitua. Pia kaua Askari. Daaah. Pole kwa Familia zao.
 
Kwa nini?
Atakua na maswali mengi atakayopaswa kuyajibu.
1. Uyu Mtu mlikutana wapi?
2. Uyo mtu kwanini ulimsajilia kwa jina moja badala ya mawili?
3. Ukaribu wenu umeanza Lini?
4. Mara ya mwisho kuonana nae Ni Lini?
5. Utatuthibitishiaje hauhusiki na yeye Kwenye hili shambulizi?
6. Hebu tupeleke kwako tukakukague?
 
Mbowe gaidi? nadhani gaidi mnamuona leo
Mbowe alikuwa anafadhili vitendo kama hivi.
alijificha kwenye chama lkn alikuwa akifadhili mambo kama haya. na huenda mtandao upo, hivyo Jeshi letu la polisi pamoja na vyombo vyote visiwachekee hawa wahuni walio jificha kwenye chama.
hawa ni watu hatari kwa amani yetu, hawana nia njema wanapaswa washughulikiwe kama ilivyo kuwa kipindi cha JPM.
 
Ili kumjua ni nani, ametumwa na nani, motive behind pamoja na anaoshirikiana nao kimsingi haikuwa lazima kumuacha hai.

Kazi kuu ya kwanza ilikuwa kum-neutralize, then hayo mengine yote yatajulikana tu. Askari wa upelelezi watafanya kazi yao kwa weledi.

Kwahiyo pongezi kwa jeshi la polisi kwa kumtuliza kwanza. Mengineyo yatafuatia.
 
Wewe utakuwa ni mccm. Na siasa za chuki zimekuingia vilivyo. Chuki dhidi ya principal muslim, hao uliowataja ni culture Muslim ambao wameathiriwa zaidi na imani ya kijamaa kuliko ya kiislam.

Tukio hili ni la kihalifu kama Uhalifu mwengine. Kunasibisha na ugaidi, tena wa waislam ni ujinga wa km sisiem tu ulionao.
Humu tukionya kuwa hao mashehe wa uamsho Ni magaidi

Humu na mama yenu mkawa mnadai ushahidi uko wapi? Ina Maana Raisi Shein ,Raisi Kikwete na Raisi Magufuli wote walikuwa akili hawana wala ushahidi wa kuwashikilia miaka yote ya utawala wao kiasi kuwa Mama Samia ghafy ageuke kuwa na akili za kuwazidi Marais wote watatu watangulizi wake?

Sasa hao Tena waislamu wenzie wanamuonyeshea kuwa Waislamu wenzio magaidi tupo hewani

Asante kututolea mashehe wetu tuendeleze harakati za kigaidi
 
Huyu mtu mwenyewe alikuwa anatembea kwa uwazi kabisa kama anaenda dukani..to me..he appears unproffesional..na ameuwa askari trained kabisa watatu..je angekuwa anajificha na very proffesional ingekuwaje....tuwekeze nguvu zetu na juhudi kwenye vitu vitakavyoleta tija..haya mambo ya kubambikia watu matukio..then matukio yanapotokea tunapata majanga tuu
 
Hao polisi wana wategemezi na wapendwa wao ambao wamewaacha.

Tuweni na ubinadamu, polisi wanafanya kazi kubwa sana licha ya mapungufu yao madogomadogo.

Tuwaunge mkono na tuwape pole waathirika wote wa tukio hili.

Tuweni na utu.
Tatizo hayo mapungufu wanayazidisha
 
Mnaojaribu kutuma pesa mnahatarisha hadhi zenu kwenye jamii. Mkikamatwa kwa kufadhili ugaidi itawachukua muda sana kujinasua.

Tuwe makini.
 
Instagram anatumia jina gani?
Na Twitter?
Screenshot_20210825-174531~2.png


😂🙌😂☝️
 
Wakuu,kuna video moja jamaa flani hivi watu wanasema ni askari alimfata yule bwana mkubwa kibandani,wakati bwana mkubwa akiwa anarushiana risasi na askari,hivi yule jamaa ambae ni askari aliingiaje pale katikati ya msitu wa risasi,tena kizembe namna ile?
 
TANZANIA/JF KILA MTU NI MWANA USALAMA. UKISOMA COMMENTS UTACHEKA NYINGINE UTASIKITIKA TU.

NIONAVYO MIMI HUYO MTU NI GAIDI. TENA MAGAIDI WAMEKUJA NA AINA MPYA YA KUFANYA TUKIO KWA KUWALENGA ASKARI TU HASA POLISI.

HII MBINU NI NZURI KWA KUWA MAGAIDI SASA WANAKWENDA KUPATA UUNGWAJI MKONO MKUBWA KUTOKA KWA RAIA. NIMESOMA COMMENTS KWENYE MITANDAO MBALIMBALI WATU WANAMPONGEZA GAIDI KWA KUTOWAGUSA RAIA WA KAWAIDA.

KULE KENYA WET GATE MAGAIDI YALIUA RAIA NDIO MAANA WALIPOTEZA USHAWISHI. HUKU KWETU MAGAIDI HAYAGUSI RAIA ILI TU KUPATA SUPPORT YA NGUVU YA UMMA.

YAJAYO YANAHUZUNISHA SANA.
Nionavyo mm ukiona mtu anafurahia ugaid nae n gaid au n sehemu ya ugaid. Maana kunawatu wanatumika kuwasaidi magaid pasipo kujua ama kwakujua ila one day kila mmoja ataonja athari za ugaid endapo ukishika hatamu
N rai kwa wote kukemea matukio haya kwa nguvu zote.
 
Back
Top Bottom