OMOYOGWANE
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 3,629
- 9,175
"Kasema CCM sio chombo cha serikali, CCM haitokani na Serikali, ila Serikali zote mbili (Tanzania na Zanzibar) zinatokana na CCM, CCM haipokei maagizo kutoka Serikalini, ila Serikali inapokea maagizo kutoka CCM, hii ni kupitia ilani na sera zilizotungwa na viongozi mbali mbali wa Serikali!"
Huu ni ujumbe mzito samaa kwa team sukuma Gang
Hapa naona kuna watu wanaenda kunyooshwa
Huu ni ujumbe mzito samaa kwa team sukuma Gang
Hapa naona kuna watu wanaenda kunyooshwa