Ndo nishakunya sasa na kuharisha umomo. Wanaume wenyewe mnaochonga vikopo tu vya chooni. NA NAFUNGUA MWAKA NA HUU UZI RASMI.
Ok, nlijua ndio TOOLS yako sasa ya kuturingishia....!Bikra ushamba tu,sema anachonga sanaa kuhusu mkewe ndo nikampiga swali dogo tu, JE BIKRA? Kama sio bikra ajue tu wenzie walikula kwa fujo, walikula bila kumbakishia baba basi.
Duuh..Huu uzi ndo umefika huku..Mbombo ngafu
Nikataka kushangaa aiseeDaddy nimeshaghairi, sina jinsi teh
Ni faida za kumkimbilia Mungu sisy. Sifa zimwendee yeye. Masahibu ni fursa ya kipekee ya kumsogelea.I ain't proud of you, I'm so grateful for your wisdom. Ubarikiwe wewe na kizazi chako
Nisharudi mamito..Nipo room..Mkimaliza hiki kikao chenu utanikutaBaby mbona haurudi?? Hiyo icecream ndio umegoma kuniletea?
Exactly sweetheart. Hamna aliyemkimbilia Mungu akapata haya.Ni faida za kumkimbilia Mungu sisy. Sifa zimwendee yeye. Masahibu ni fursa ya kipekee ya kumsogelea.

Hujaviona tu mkuu? Page ya 4o na kituu bado?hili jiwe la gizani mimi nasubiria mtu atoe mlio tu
Kila saa nalala alafu nachunguliamo...! Watu wakitema nyongo...!Duuh..Huu uzi ndo umefika huku..Mbombo ngafu
Nisharudi mamito..Nipo room..Mkimaliza hiki kikao chenu utanikuta
Hujaviona tu mkuu? Page ya 4o na kituu bado?
umeona ee? hahahaaa.... kama pazia la ikuluKhaaaah!! Na nyie watu wapanaaaa!
umeona ee? hahahaaa.... kama pazia la ikulu
Kwaiyo hata kama sijakupenda nikubali tu kwavile umri umeenda lool hapana na mwanaume strong tu ndo anaweza.kulea mtoto wa mwingine nyie nguvu ya soda ndo mnajua kutelekeza tu,mbona sisi tunawalelea wenu