Victoire
JF-Expert Member
- Jul 4, 2008
- 25,037
- 60,222
Nguvu ya umma haijawahi kushindwa,kama wakisema enough is enough.Wanakumbuka ahadi za Ruto kipindi cha uchaguzi. Unga ndo unazidi kupanda bei.Kuna polisi wamepewa kibano mpaka wamekimbia kujificha.