raila odinga

Raila Amolo Odinga (born 7 January 1945) is a Kenyan politician who served as the Prime Minister of Kenya from 2008 to 2013. He has been the Leader of Opposition in Kenya since 2013. He was the Member of Parliament (MP) for Langata from 1992 to 2013. Raila Odinga served in the Cabinet of Kenya as Minister for Energy from 2001 to 2002, and as the Minister for Roads, Public Works and Housing from 2003 to 2005. Odinga was appointed High Representative for Infrastructure Development at the African Union Commission in 2018.He was the main opposition candidate in the 2007 presidential election, running against the then incumbent Mwai Kibaki. In the subsequent presidential election 5 years later he placed second against Uhuru Kenyatta, garnering 5,340,546 votes, which represented 43.28% of the total votes cast. He made another attempt for the presidency in August 2017 against Uhuru Kenyatta and Uhuru Kenyatta stole votes after the chairman of the electoral body declared Uhuru Kenyatta winner with 54% of the votes cast to Odinga's 43%. This outcome was eventually annulled by the Supreme Court following findings that the election was marred by "illegalities and irregularities". A subsequent fresh election ordered by the Court was won by Uhuru Kenyatta when Odinga declined to participate citing inadequate reforms to enable a fair process in the repeat poll.
Son of the first Vice President of Kenya, Jaramogi Oginga Odinga, he draws a large chunk of his support from various regions in Kenya, most notably the Coastal Region and his native former Nyanza Province. Odinga is commonly known as "Baba", coincidentally, he was an MP at the same time as his father between 1992 and 1994. Other nicknames that have been associated with the premier are such as "Nyundo" which is hammer in Kiswahili, "Tinga" which means tractor in Kiswahili a symbol of his National Development Party (NDP) and "Agwambo" meaning a man who is unpredictable (enigma or mysterious) and 'Baba' which means a political father.
Odinga first ran for president in the 1997 General Elections, coming third after President Daniel arap Moi of KANU and Mwai Kibaki of the Democratic Party (DP), respectively. He contested for the presidency again in the 2007 General Elections on an Orange Democratic Movement (ODM) ticket.
In readiness for that poll, on 1 September 2007, Odinga was picked as ODM's presidential nominee to face off with PNU's Mwai Kibaki. He managed to garner significant support in that election. According to the he Electoral Commission of Kenya (ECK), the electoral body at the time, he swept the majority of the votes in Rift Valley (Kenya's most populous area), Western, his native Nyanza, and Coast. Kibaki on the other hand won majority votes in Nairobi (the capital), North Eastern province, Central province and Eastern province, taking 4 provinces against Odinga's 4. Odinga's ODM party got 99 out of the 210 seats in the parliament, making it the single largest party in parliament.
The Kriegler report, commissioned to investigate the violent aftermath of the 2007 elections and alleged vote-rigging, stated that about 1.2 million dead voters existed in the voters register, raising serious doubts to the integrity of the election.On 30 December 2007, then chairman of the Kenyan election commission the late Samuel Kivuitu, declared the incumbent, President Kibaki, the winner of the presidential election by a slim margin of about 230,000 votes. Odinga disputed the results, alleging fraud by the election commission. However he refused to follow due process of petitioning the courts, believing that the courts were under manipulation by Kibaki and so could not give a fair and impartial hearing.
Most opinion polls had speculated that Odinga would defeat the president, though the margin kept narrowing as election day neared. Independent international observers have since stated that the poll was marred by irregularities in favor of both PNU and ODM, especially at the final vote-tallying stages. The announcement of Kibaki's win was followed almost immediately by rioting and violent protests, from both ODM and PNU supporters, and the post-election violence continued for several weeks resulting in over 1000 deaths and the displacement of 500,000 people.Besides his father, Odinga is identified as one of the leading forces behind the democratization process of Kenya, particularly during the repressive regime of President Daniel arap Moi (1978–2002) and the lead-up to the adoption of the new Constitution (2010) that re-affirmed many formerly neglected fundamental rights.
In 2017, Odinga ran for the presidency a fourth time, but lost to Uhuru Kenyatta. Odinga contested the election result in the Supreme Court, which nullified the results and called new elections as a result of electoral irregularities. Despite the Supreme Court ruling, Odinga announced on 10 October 2017 that he would withdraw from the second Presidential election.

View More On Wikipedia.org
  1. Influenza

    Raila Odinga: Serikali ya Rais Ruto 'imeliteka' Bunge, sasa limekuwa 'hanisi'

    Azimio la Umoja One Kenya coalition party leader Raila Odinga now claims the Kenya Kwanza administration has captured the legislative arm of the government, thereby rendering Parliament unable to conduct its oversight role on behalf of Kenyans. Speaking during the burial of Phyllis Mawathe, the...
  2. B

    Tundu Lissu aweka bayana uhusiano wa CHADEMA na siasa za Kenya

    Nairobi, Kenya https://m.youtube.com/watch?v=UVkbMVnUkZw 2017 Uhuru Kenyatta na William Ruto 2015 Odinga na urafiki wake na Magufuli Odinga kuunga mkono siasa za mabavu za Magufuli Kabla ya hapo 2010 - 2012 ODM Raila Odinga Busara za Odinga Detention Siasa za kuumizana N.k
  3. Lady Whistledown

    Raila kwa Balozi wa Marekani: Kenya Sio Koloni la Marekani, Funga Mdomo wako, jiepushe na Siasa za Kenya

    Kiongozi wa Muungano wa Azimio la Umoja, Raila Odinga, amemjibu Balozi wa Marekani Mchini humo, Meghan Whitman, kuwa Kenya sio koloni la Marekani na kumtaka Whitman kujiepusha na siasa za Kenya, la si hivyo Watafanya mazungumzo ili arudishwe Marekani Hii ni Siku moja baada ya Whitman kusema...
  4. benzemah

    Raila Odinga: Rais Samia alikuja Kenya kutusuluhisha mgogoro lakini Rais Ruto akaingia mitini

    Akizungumza na waandishi wa habari jijini Nairobi nchini Kenya, Waziri Mkuu wa Zamani wa Nchi hiyo na Kiongozi wa Upinzani, Raila Odinga amesema jitihada za kutafuta suluhu ya mgogoro unaoendelea kulitafuna taifa zilifanywa sio tu na jamii wa Wakenya peke yao bali hata Matifa jirani ambapo...
  5. BARD AI

    Serikali yaondoa Walinzi wa Raila Odinga na viongozi wengine wa Upinzani

    Uamuzi huo unakuja muda mfupi baada ya Odinga kutangazia Wananchi kuwa wajiandae kwa Maandamano ya Kimapinduzi kuanzia Julai 19, 2023, Maandamano ambayo yamepata pia kibali cha Mahakama. Kwa mujibu wa taarifa, Askari 10 wanaomlinda Odinga na wengine wanaolinda Makazi yake jijini Nairoi, Kisumu...
  6. BARD AI

    Raila Odinga atangaza kuandamana kwa siku 3 kila wiki kuanzia Julai 19, 2023

    Muungano wa Vyama vya Upinzani wa Azimio la Umoja One Kenya, umesema uamuzi huo unatokana na maombi ya Sekta mballmbali Nchini humo zinazotaka kushiriki Maandamano hayo. Taarifa iliyotolewa na Umoja huo leo Julai 14, 2023 imesema ratiba mpya ya Maandamano itahusisha siku za Kazi na itaanza...
  7. BARD AI

    Msafara wa Raila Odinga wapigwa Mabomu ya Machozi akiongoza Maandamano

    Maandamano hayo ni wito wa Kiongozi huyo wa Upinzani kutoka Muungano wa Azimio kuelekea Jijini Nairobi yakiwa na lengo la kupinga gharama kubwa za maisha na Utawala wa Rais Ruto. Pia, Raila Odinga ameanzisha kampeni ya kukusanya Saini Milioni 10 za wananchi ili kupata uungwaji mkono wa...
  8. BARD AI

    Kenya: Uhuru Kenyatta na Raila Odinga wadaiwa kupanga njama za kumuondoa Rais Ruto Madarakani

    Kupitia ujumbe uliochapishwa na Dennis Itumbi, alikuwa Kampeni Meneja wa Rais William Ruto, amesema taarifa za Kiintelijensia kutoka kwa Maafisa wa Hustler Nation Intelligence Bureua (HNIB) zimeeleza kuwa Rais Mtaafu Uhuru Kenyatta amefanya Kikao maalum cha SIRI nyumbani kwa kiongozi wa Upinzani...
  9. BARD AI

    Raila Odinga: Hatufanyi Majadiliano tena na Serikali, lazima tumzuie Ruto sasa

    Kiongozi huyo wa Muungano wa Vyama vya Upinzani kupitia Azimio la Umoja One Kenya, amesema wamefuta mazungumzo yote na Serikali baada ya Rais William Ruto kusaini Sheria ya Fedha inayolalamikiwa na wananchi wengi. Amesema wanarejea katika kampeni za kuhamasisha migomo ya wananchi dhidi ya jambo...
  10. Lady Whistledown

    Raila amkosoa Ruto kwa kukopa Tsh. Trilioni 3.6 siku chache kabla ya kuisha kwa mwaka wa fedha

    Kiongozi wa Azimio la Umoja, Raila Odinga ameishutumu Serikali ya Rais William Ruto kwa kukopa kupita kiasi wakati ambapo nchi inakabiliana na ongezeko la deni la Serikali, na kuonya kuwa Hazina ya Kitaifa na Wizara zote zinazohusika katika kukopa hazitaepuka uwajibikaji Akiongea na Waandishi...
  11. Kenyan

    Upinzani wagoma kuhudhuria maombi ya kitaifa

    Viongozi wa Muungano wa Azimio wakiongozwa na Raila Odinga wamegoma kukubali mwaliko wa Rais William Ruto kuhudhuria maombi ya kitaifa yaliyoratibiwa kufanyika leo. Kwa mujibu wa taarifa iliyotumwa kwa vyombo vya habari, Azimio imedai kitendo cha serikali ya Kenya kwanza kuandaa hafla ya maombi...
  12. J

    Raila Odinga ni imara zaidi, amchana Rais Ruto uso kwa uso Msibani

    Tuna Imani na kiongozi Wetu Tundu Antipas Lisu lakini bado hajafikia level za Wapinzani wa huko Duniani, na huo ndio ukweli. Jana hapo Kenya palikuwa na majibizano ya ana kwa ana Kati ya Raila Odinga na Rais Ruto wakiwa Msibani na hatimaye Ruto akasema " mh Waziri mkuu mstaafu katika mambo ya...
  13. JanguKamaJangu

    Kenya: Rais Ruto na Gachagua wasalimiana kwa kupeana mikono na Raila Odinga msibani

    Rais wa Kenya, William Ruto na Naibu wake, Rigathi Gachagua wakisalimiana kwa kupeana mkono na Kiongozi wa Azimio Raila Odinga wakati walipokutana kwenye msiba wa Mukami Kimathi ambaye alikuwa mke wa marehemu Dedan Kimathi ambaye alikuwa ni mpigania uhuru wakati wa Ukoloni. Akiwa msibani hapo...
  14. JanguKamaJangu

    Raila kumshtaki Mahakamani Rais Ruto kuhusu vifo vya waumini vilivyotokea Shakahola

    Kongozi wa Umoja wa Azimio, Raila Odinga amesema anachukua uamuzi huo dhidi ya Rais wa Kenya, William Ruto ambaye ameunda Kamati ya kuchukunguza miili 110 iliyofukuliwa katika eneo la #Shakahola lilipo katika Kanisa la Good News International Church, ambapo takribani Watu 320 wameripotiwa...
  15. BARD AI

    Raila Odinga: Tutaandamana leo hadi Ikulu, Tume ya Uchaguzi na Ofisi ya Hazina

    Kiongozi huyo wa Upinzani unaoongozwa na Muungano wa Azimio la Umoja One, amesema maandamano ya kupinga Utawala wa Rais Ruto na Serikali yake yatafanyika leo Mei 2, 2023 licha ya Polisi kukataa kuwapa kibali. Odinga amesema watawasilisha Pingamizi kuhusu Uchaguzi Mkuu wa Agosti 2022, Malalamiko...
  16. B

    Raila Odinga atangaza kusitisha maandamano

    Hatimaye maandamano yasitishwa. Somo limeeleweka. Ruto kaona umuhimu wa kuongea. Sisi tuendelee kusubiria maembe kwenye mnazi. Raila agenda ni zile zile: Bila kukomaa itakuwa mwendo wa kulialia tu kama kwetu. Siri ya mafanikio yao ni uwepo wa nguvu ya umma ya uhakika. Pia soma > RAILA...
  17. BARD AI

    Rais Ruto amuomba Raila Odinga kusitisha Maandamano, aahidi kuwalinda Wanahabari

    Akihutubia Taifa leo April 2, 2023, Rais #WilliamRuto amemtaka Odinga kuruhusu mchakato wa Majadiliano ya Wabunge wa pande zote kushughulikia madai ya Upinzani, ikiwemo uteuzi wa Makamishna wa Tume ya Uchaguzi (IEBC). Pia, Ruto amevihakikishia #VyomboVyaHabari usalama baada ya kuwepo kwa...
  18. BARD AI

    Askari aliyejeruhiwa kwenye Maandamano ya Raila Odinga afariki dunia

    Kamanda wa Polisi wa Kaunti ya Kisumu, Alphonse Wambua amesema Koplo Ben Oduor, alikimbizwa katika chumba cha wagonjwa mahututi (ICU) katika Hospitali ya Aga Khan saa 10 jioni na kufariki wakati akipata matibabu. Afisa huyo kutoka katika Kituo cha Polisi cha Keroka katika Kaunti ya Nyamira...
  19. BARD AI

    Raila Odinga adai waliovamia mashamba ya Kenyatta walitumwa na Serikali

    Kiongozi huyo wa Upinzani kutoka Azimio la Umoja One amelaani uvamizi huo uliofanywa makundi ya Wahalifu walioiba na kuchinja baadhi ya mifugo ikiwemo Mbuzi na Kondoo waliokuwa ndani ya Shamba hilo. Akizungumza na BBC, Odinga amesema uvamizi huo uliofanywa Machi 27, 2023 ikiwa ni siku ya pili...
Back
Top Bottom