Boloyoung
JF-Expert Member
- Aug 24, 2015
- 680
- 627
Me naangaliaga chura inavyo vibrateMI nawapenda sana wanafurahisha
Me naangaliaga chura inavyo vibrateMI nawapenda sana wanafurahisha
Tofauti ni kuwa mwanaume Hana matak@ na wadada tuna miinuko vitonga,wanaume Hamna matiti while wadada wanayo. Kinachokusumbua ni tamaa zako tu,kwani sumaku zinashikana katika mtindo gani? Ukioata jibu hilo utajua,kinachokutesa ni attraction toward them. And marufuku kusema ufuska sijui wadada kwani wote ni Madada poa??? Ni vepe chaliiiHakuna mazingira mwanaume anaweza vaa nguo Itakayoleta Usumbufu Kwa Mtu mwngine , epecially linapofika vazi la Mazoezi.
Arusha kwenye barabara ipi?? Dar pia ni barabara zipi hasa wanapenda kupita??
just your dirty mind doing tricks with youHii sasa imegeuka kama Style Flani hivi kwa Sasa , na hii inafanyika Mikoa Mikubwa Especially Dsm and Arusha .
Kina Dada wamegeuza Sehemu hiyo kua Fursa ya Kufanya Ufuska wao mwengine.
Mtu unajiuliza Gym hakuna ? Basi kama Gym Gharama , Hakuna maeneo Special kwa Ajili ya Hayo Mazoezi ? .au labda Kukimbia Barabarani kunaongeza Ufanisi Wa mazoezi ?
Sasa Tazama nguo wanazovaa Vs Maumbilie yao , Tazama maeneo ya Barabara wanapofanyia hayo mazoezi, Tazama na Muda pia.. kisha Jumlisha, unipe Jibu.
Mm Hesabu zangu zimeniletea Majibu Mazuri , "mazoezi barabarani ni njia ya Kina Dada kujipatia Wanaume. (Huwenda Sio wote)
Hakuna kitu, we ukimpata ni akili zako zimekutana na zake. Wapo ki mazoezi.Hii sasa imegeuka kama Style Flani hivi kwa Sasa , na hii inafanyika Mikoa Mikubwa Especially Dsm and Arusha .
Kina Dada wamegeuza Sehemu hiyo kua Fursa ya Kufanya Ufuska wao mwengine.
Mtu unajiuliza Gym hakuna ? Basi kama Gym Gharama , Hakuna maeneo Special kwa Ajili ya Hayo Mazoezi ? .au labda Kukimbia Barabarani kunaongeza Ufanisi Wa mazoezi ?
Sasa Tazama nguo wanazovaa Vs Maumbilie yao , Tazama maeneo ya Barabara wanapofanyia hayo mazoezi, Tazama na Muda pia.. kisha Jumlisha, unipe Jibu.
Mm Hesabu zangu zimeniletea Majibu Mazuri , "mazoezi barabarani ni njia ya Kina Dada kujipatia Wanaume. (Huwenda Sio wote)
PointKama umeshazoea kutembelea swimming pool, hakuna mavazi ya mwanadada yatakayokusumbua tena!
Some people just need a little exposure.A human is a very complicated being, it is difficult to please him, as long as it is not a sin, I'll do it no matter what they may say/argue
Kwan we hufanyag Mazoezi?Watakuja kugongwa na gari buree watuchafulie barabara
Ama nene.... Aisee Ntauza Arushya mimTofauti ni kuwa mwanaume Hana matak@ na wadada tuna miinuko vitonga,wanaume Hamna matiti while wadada wanayo. Kinachokusumbua ni tamaa zako tu,kwani sumaku zinashikana katika mtindo gani? Ukioata jibu hilo utajua,kinachokutesa ni attraction toward them. And marufuku kusema ufuska sijui wadada kwani wote ni Madada poa??? Ni vepe chaliii
Mhh mkuu ivi wanariadha au waogeleaji wanavaa mabuga?Hakuna mazingira mwanaume anaweza vaa nguo Itakayoleta Usumbufu Kwa Mtu mwngine , epecially linapofika vazi la Mazoezi.