SueIsmael
JF-Expert Member
- Dec 11, 2013
- 932
- 1,281
kwa kuwa wadada hawalalamiki ndio unadhani wanakubaliana na kila mavazi wanaume wanayovaa au kutokuvaa? Ni kwamba tu wanaheshimu uhuru wenu kama wanavyotegemea wanaume mheshimu uhuru wao!Hakuna mazingira mwanaume anaweza vaa nguo Itakayoleta Usumbufu Kwa Mtu mwngine , epecially linapofika vazi la Mazoezi.