Kina dada: Mazoezi yenu kando ya barabara ni ufuska mtupu

Hakuna mazingira mwanaume anaweza vaa nguo Itakayoleta Usumbufu Kwa Mtu mwngine , epecially linapofika vazi la Mazoezi.
kwa kuwa wadada hawalalamiki ndio unadhani wanakubaliana na kila mavazi wanaume wanayovaa au kutokuvaa? Ni kwamba tu wanaheshimu uhuru wenu kama wanavyotegemea wanaume mheshimu uhuru wao!
 
Hii sasa imegeuka kama Style Flani hivi kwa Sasa , na hii inafanyika Mikoa Mikubwa Especially Dsm and Arusha .
Kina Dada wamegeuza Sehemu hiyo kua Fursa ya Kufanya Ufuska wao mwengine.
Mtu unajiuliza Gym hakuna ? Basi kama Gym Gharama , Hakuna maeneo Special kwa Ajili ya Hayo Mazoezi ? .au labda Kukimbia Barabarani kunaongeza Ufanisi Wa mazoezi ?

Sasa Tazama nguo wanazovaa Vs Maumbilie yao , Tazama maeneo ya Barabara wanapofanyia hayo mazoezi, Tazama na Muda pia.. kisha Jumlisha, unipe Jibu.


Mm Hesabu zangu zimeniletea Majibu Mazuri , "mazoezi barabarani ni njia ya Kina Dada kujipatia Wanaume. (Huwenda Sio wote)
Mkuu unatoka kule kwa Ayatollah nini?
Acha watu wafaidi uhuru wa nchi yao bana, we ukiona dada anafannya nazoezi na anakuamsha vitu vilivyo lala, fumba nacho.

Mi nina enjoy sana kuona mwamko wa watu wote, vijana kwa wazee, kufanya mazoezi.
 
Daah! Kila anachofanya mdada ni kutafuta wanaume?
Kukimbia barabarani ni mazoezi mazuri kweli... Nchi za wenzetu wanatengenezewa barabara zao za mazoezi ila sisi barabara tulizobaki nazo ndo hizo.. Tuvumiliane tu
 
Labda ungesema hawa wanaokimbia kwa mfano Arusha kuanzia sakina mpaka ngaramtoni ni hatari sababu barabara ni high way na ina malori mengi uwanaweza wakafa kwa ajalii.
Mazoezi ni kitu bora kwa afya zetu kuhusu kuvaa hata waliovaa gurka wanatamaniwa
 
Hii sasa imegeuka kama Style Flani hivi kwa Sasa , na hii inafanyika Mikoa Mikubwa Especially Dsm and Arusha .
Kina Dada wamegeuza Sehemu hiyo kua Fursa ya Kufanya Ufuska wao mwengine.
Mtu unajiuliza Gym hakuna ? Basi kama Gym Gharama , Hakuna maeneo Special kwa Ajili ya Hayo Mazoezi ? .au labda Kukimbia Barabarani kunaongeza Ufanisi Wa mazoezi ?

Sasa Tazama nguo wanazovaa Vs Maumbilie yao , Tazama maeneo ya Barabara wanapofanyia hayo mazoezi, Tazama na Muda pia.. kisha Jumlisha, unipe Jibu.


Mm Hesabu zangu zimeniletea Majibu Mazuri , "mazoezi barabarani ni njia ya Kina Dada kujipatia Wanaume. (Huwenda Sio wote)
Mimi nakuunga mkono kwa 100% kuna maeneo ya baharini ambayo ni mazuri kwa mazoezi lakini utayaona ni madada yakionyesha hata sehemu za chupi zao kwa Juu ati wako mazoezini. Wengi utembea umbali Fulani kisha ugeuza na kurudi ofisini ati ili kuchukua lifti ya kumrudisha nyumbani. Kiukweli huu ni zaidi ya Ufuska mtupu
 
Nishawahi tukanwa na mrs kwa ajili yao,
Mate yalitaka kumezwa nikawa najizuia nikaulizwa nini tatizo langu?
Sikujibu lakini mate yalikuwa yamejaa mdomoni wala sikujua sababu yake!

Sikuwa na namna nyingine bali kumeza tu na kubadirisha maada na sidhani kama ilikubalika.
 
Mnasababisha ajali acheni upuuzi..! Kitumbua kimetuna kwenye track mpaka mtu unasahau njia na gari linaingia mtaroni.


Pumbavuwee! Uhayawani uliobeba kichwani kwako ndio unaosababisha uache njia uingie mtaroni
 
Hii sasa imegeuka kama style flani hivi kwa sasa na hii inafanyika mikoa mikubwa especially Dar na Arusha. Kina dada wamegeuza sehemu hiyo kua fursa ya kufanya ufuska wao mwingine. Mtu unajiuliza gym hakuna? Basi kama gym gharama, hakuna maeneo special kwa ajili ya hayo mazoezi?

Au labda kukimbia barabarani kunaongeza ufanisi wa mazoezi? Sasa tazama nguo wanazovaa vs maumbilie yao, tazama maeneo ya barabara wanapofanyia hayo mazoezi, tazama na muda pia. Kisha jumlisha, unipe jibu.

Mimi hesabu zangu zimeniletea majibu mazuri, "Mazoezi barabarani ni njia ya kina dada kujipatia wanaume. (huwenda sio wote)
Huko kwenu wanaokimbia pembeni ya barabara ni wanawake peke yao? Huku kwetu wanakimbia wote wanaume na wanawake. Sasa sijui na hao wanaume wanafanya ufuska??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom