Tuko
JF-Expert Member
- Jul 29, 2010
- 11,180
- 7,355
- Thread starter
- #121
Tuko, ujumbe umefika.....sio wote wanaolewa kwa kupaka heshma Mrs Fulani. Kuna wengine hawataki kuzaa nje ya ndoa. Pili jamani na hizi physical needs tufanyaje, tuishie kugegedwa tu.
Ni kweli but, kwa sababu ya kutaka kuzaa ndani ya ndoa ndipo ujilazimishe kuolewa pasipo oleka? Kama ni suala la kugegedwa, wapo walioolewa, na hawapati hiyo huduma humo ndani ya ndoa pia... Kama hampendani, seriously hata akikulalia unasikia kichefuchefu tu...
Point yangu hapa ni kwamba, ndoa ni ajmbo jema, tena sana. But usipoolewa, usione kama ndio unahdarauliiika, na kusababisha uanze kufanya maamuzi ya kukuumiza na kukudhalilisha...