The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,320
- 117,654
Shemeji nakuhakikishia hukukosea kuja kwetu..Yani umeokota Almasi Kariakoo.
wewe mtu wa Tanga?
Shemeji nakuhakikishia hukukosea kuja kwetu..Yani umeokota Almasi Kariakoo.
Teh Teh Teh
Una utani na status za watu Facebook
married bachelor lol
bado naomboleza mwenzio
Pole sana...naona ulitamani uende Caracas ukazike ..
Kicheko cha kimbea hiko
usije sutwa tu lol
Niende mara ngapi wakati huku ndio makazi kwa sasa.
Dah kweli wewe Chavez ulimpenda....
pole na hongera...
Vizuri havidumu; dunia ya leo kuna kiongozi aliyebaki ambaye akifa ataliliwa na na watu zaidi ya ukoo wake????
Asprin eti mimi mtu wa wapi!?
Ndio maana mnabaki single kwa makosa madogo madogo kama haya
mwanaume anakuuliza maswali,unaita mwanaume mwingine ajibu..
unabaki kujiuliza
alieitwa ndio mume?buzi?au mgegedaji wa wikiendi?
halafu unashangaa watu wanakosa appetite ya kuleta posa lol
kuolewa si lazima japo kunaongeza heshima...........................
Huwa sielewi saana inaposemekana kunaongeza heshima.
Labda mtu akisema inaongeza 'security Ýa mahusiano'
Mbona kuna watu wameoa/olewa na wana heshima F?
Huko Caracas naona kila mtu anaamini ni sumu aliwekewa na Wamarekani sio?
Ukirudi bongo kusanya Wadada wa huko wanaotafuta kuolewa uwalete huku lol
unaweza anzisha an agency lol
Wewe unaona soko Bongo tayari liko saturated afu unanishauri nilete warembo...unataka nirogwe wewe.
AshaDii umemaliza.Kuolewa ni muhimu.Kwa sababu ya biolojia zetu tulivyoumbwa.vinginevyo wengi wanaibia.wameolewa au kuoa isivyo rasmi nikimaanisha wanaishi maisha ya kindoa pasipo baraka za Mungu au jamii kwenye.ndoa za mitala.Yamkini kwa kutambua hili ndio maana wenzetu waislamu walitambua kuoa wake wanne.Wakristo wengi wameoa zaidi ya mke mmoja kinyemela..