Kina dada, kwani kuolewa ni lazima?

Kina dada, kwani kuolewa ni lazima?

Tuko

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2010
Posts
11,180
Reaction score
7,355
Nimeuliza hili swali kwa sababu kwenye jamii yetu baadhi ya kina dada ambao hawajaolewa hadi umri fulani wanakuwa 'desparate' na kupelekea kuchukua maamuzi yanayoshangaza au hata kuwaumiza.

Ingawa ni wachache sana wanaokiri kwa maneno frustrations zao kwa watu, tumekuwa tukishuhudia wengi wao wakikiri kwa matendo yao.

Mi naomba tu niwaambie kina dada kuwa dunia ya sasa imebadilika, watu waliostaarabika hawawapunguzii heshima hata 0.01% wadada ambao hawajaolewa na umri ukiwa umeenda. Kwa wanaodhani kwamba labda jamii inawa-look down kama hawajaolewa, naomba niwahakikishie kuwa ni watu wachache sana, tena wenye mitazamo primitive pengine ndio wanaodhani kuwa kuolewa ni 'ujanja'.

Sikatai kuwa it is something good to have your family composed of you, your BELOVED husband, na watoto kama Mungu atawajaalia. Lakini ni u%$#$$ kuingia kwenye ndoa iliyojaa matatizo na mateso, masimango na kila aina ya udhalilishaji kwa kigezo tu cha kutaka kuolewa. Yes.. tunaona huku mtaani watu wanaingia kwenye ndoa na watu ambao kila mtu anasema OMG!... Na waolewa wenyewe wanaziona kasoro zote but wanazipuuza kwa sababu wanataka kuolewa (na hakuna mapenzi hata tone)

Tunashuhudia kina dada wakisacrifice heshima zao na 'kulazimika' kufanya vitu vya ajabu ili tu kumridhisha mchumba.

Tunashuhudia kina dada wakifyatua mimba kila siku zilizotokana na 'kutii' hamu ya wachumba ambao wanaishia kuwatelekeza

Tunashuhudia kina dada wakiingia katika mahusiano na wanaume lukuki kwa sababu tu wanataka ku-maximize chance ya kuolewa.

Tunashuhudia kina dada wakivunja mahusiano na wanaume wanaowapenda kwa sababu wamekutana na aliye tayari kuoa hata kama hawapendani...

Mbaya zaidi wapo wadada wanaoona kabisa unreliability ya ndoa wanazoingia lakini wanasema "bora tu niolewe mwaya, hata nikiachika nitakuwa nimetoa mkosi!!!!"

Kama Mungu kakujaalia uwezo wa kufanya kazi na kuingiza kipato cha kukuwezesha kujikimu na kuwakimu wanaokutegemea, kwa nini uumize kichwa na kuingia kwenye ndoa za mateso na za kukudhalilisha, ili na wewe uonekane umeolewa?
 
Wadada tusome hii thread kwa umakini jamani. Kuna message nzuri kutoka kwa Tuko.
 
Kweli tuko hili ni janga la kitaifa....ila kuolewa sio lazima kila mtu na maisha yake.ila hapa bongo usipoolewa bana ooohhh cha moto utakiona hasa hawa mrs fulani bwana wakimuona mdada wa watu msingle lady, basi roho inakuruka,, oo huyu malaya kazi yake kutafuta waume za watu, hana mbele wala nyuma, hajatulia, yani sijui nani atamuoa na maneno kibao,, alikuambia anataka kuolewa? Kama sio umbea,, wewe kabla ya kuolewa hukuwa single lady? Huyo mumeo ulimtengeneza mwenyewe au na yeye alikuwa wa fulani, basi tu kaona unamfaa sana ndo akaamua kukuchukua muishi maisha yenu? Basi ndo mtoto wa kike jiamini, muache single lady wa watu na maisha yake, malaya yeye, anataka wa ume za watu yeye, inakuhusu nini? Wewe mumeo si unaye ndani si umfanye asiende bar, si umfanya asiwe na hao single lady? Sio vizuri kabisa, wewe kupata mume usifikiri kila mtu ana hobie ya kuolewa, mume bongooo!!!!!!!11
 
Kweli tuko hili ni janga la kitaifa....ila kuolewa sio lazima kila mtu na maisha yake.ila hapa bongo usipoolewa bana ooohhh cha moto utakiona hasa hawa mrs fulani bwana wakimuona mdada wa watu msingle lady, basi roho inakuruka,, oo huyu malaya kazi yake kutafuta waume za watu, hana mbele wala nyuma, hajatulia, yani sijui nani atamuoa na maneno kibao,, alikuambia anataka kuolewa? Kama sio umbea,, wewe kabla ya kuolewa hukuwa single lady? Huyo mumeo ulimtengeneza mwenyewe au na yeye alikuwa wa fulani, basi tu kaona unamfaa sana ndo akaamua kukuchukua muishi maisha yenu? Basi ndo mtoto wa kike jiamini, muache single lady wa watu na maisha yake, malaya yeye, anataka wa ume za watu yeye, inakuhusu nini? Wewe mumeo si unaye ndani si umfanye asiende bar, si umfanya asiwe na hao single lady? Sio vizuri kabisa, wewe kupata mume usifikiri kila mtu ana hobie ya kuolewa, mume bongooo!!!!!!!11

Wewe utaolewa?
 
Kweli tuko hili ni janga la kitaifa....ila kuolewa sio lazima kila mtu na maisha yake.ila hapa bongo usipoolewa bana ooohhh cha moto utakiona hasa hawa mrs fulani bwana wakimuona mdada wa watu msingle lady, basi roho inakuruka,, oo huyu malaya kazi yake kutafuta waume za watu, hana mbele wala nyuma, hajatulia, yani sijui nani atamuoa na maneno kibao,, alikuambia anataka kuolewa? Kama sio umbea,, wewe kabla ya kuolewa hukuwa single lady? Huyo mumeo ulimtengeneza mwenyewe au na yeye alikuwa wa fulani, basi tu kaona unamfaa sana ndo akaamua kukuchukua muishi maisha yenu? Basi ndo mtoto wa kike jiamini, muache single lady wa watu na maisha yake, malaya yeye, anataka wa ume za watu yeye, inakuhusu nini? Wewe mumeo si unaye ndani si umfanye asiende bar, si umfanya asiwe na hao single lady? Sio vizuri kabisa, wewe kupata mume usifikiri kila mtu ana hobie ya kuolewa, mume bongooo!!!!!!!11

acha kudanganya wenzio....mwanamke utasemwa na kutukanwa ukiwa single kama wewe mwenyewe u live a reckless lifestyle. kama wewe kweli umeamua kuwa single na kweli hujihusishi kabisa katika mambo ya ngono na mwanaume yoyote hamna mtu atakae sema kitu. problem is ni wanawake wangapi wanaweza kubaki single for their entire life without having bfs or changing bfs?
 
sister Smile sijakuelewa hapa unataka kusema nini??
Kweli tuko hili ni janga la kitaifa....ila kuolewa sio lazima kila mtu na maisha yake.ila hapa bongo usipoolewa bana ooohhh cha moto utakiona hasa hawa mrs fulani bwana wakimuona mdada wa watu msingle lady, basi roho inakuruka,, oo huyu malaya kazi yake kutafuta waume za watu, hana mbele wala nyuma, hajatulia, yani sijui nani atamuoa na maneno kibao,, alikuambia anataka kuolewa? Kama sio umbea,, wewe kabla ya kuolewa hukuwa single lady? Huyo mumeo ulimtengeneza mwenyewe au na yeye alikuwa wa fulani, basi tu kaona unamfaa sana ndo akaamua kukuchukua muishi maisha yenu? Basi ndo mtoto wa kike jiamini, muache single lady wa watu na maisha yake, malaya yeye, anataka wa ume za watu yeye, inakuhusu nini? Wewe mumeo si unaye ndani si umfanye asiende bar, si umfanya asiwe na hao single lady? Sio vizuri kabisa, wewe kupata mume usifikiri kila mtu ana hobie ya kuolewa, mume bongooo!!!!!!!11
 
AshaDii umemaliza.Kuolewa ni muhimu.Kwa sababu ya biolojia zetu tulivyoumbwa.vinginevyo wengi wanaibia.wameolewa au kuoa isivyo rasmi nikimaanisha wanaishi maisha ya kindoa pasipo baraka za Mungu au jamii kwenye.ndoa za mitala.Yamkini kwa kutambua hili ndio maana wenzetu waislamu walitambua kuoa wake wanne.Wakristo wengi wameoa zaidi ya mke mmoja kinyemela..
 
Last edited by a moderator:
acha kudanganya wenzio....mwanamke utasemwa na kutukanwa ukiwa single kama wewe mwenyewe u live a reckless lifestyle. kama wewe kweli umeamua kuwa single na kweli hujihusishi kabisa katika mambo ya ngono na mwanaume yoyote hamna mtu atakae sema kitu. problem is ni wanawake wangapi wanaweza kubaki single for their entire life without having bfs or changing bfs?

Nakuona mzabzab .Safi
 
Last edited by a moderator:
kuolewa/kuoa sio lazima ila hao wakina dada unaowaambia wasiolewe pia waambie waache kutamani waume za watu
 
Nimeuliza hili swali kwa sababu kwenye jamii yetu baadhi ya kina dada ambao hawajaolewa hadi umri fulani wanakuwa 'desparate' na kupelekea kuchukua maamuzi yanayoshangaza au hata kuwaumiza.
Ingawa ni wachache sana wanaokiri kwa maneno frustrations zao kwa watu, tumekuwa tukishuhudia wengi wao wakikiri kwa matendo yao.

Mi naomba tu niwaambie kina dada kuwa dunia ya sasa imebadilika, watu waliostaarabika hawawapunguzii heshima hata 0.01% wadada ambao hawajaolewa na umri ukiwa umeenda. Kwa wanaodhani kwamba labda jamii inawa-look down kama hawajaolewa, naomba niwahakikishie kuwa ni watu wachache sana, tena wenye mitazamo primitive pengine ndio wanaodhani kuwa kuolewa ni 'ujanja'.

Sikatai kuwa it is something good to have your family composed of you, your BELOVED husband, na watoto kama Mungu atawajaalia. Lakini ni u%$#$$ kuingia kwenye ndoa iliyojaa matatizo na mateso, masimango na kila aina ya udhalilishaji kwa kigezo tu cha kutaka kuolewa. Yes.. tunaona huku mtaani watu wanaingia kwenye ndoa na watu ambao kila mtu anasema OMG!... Na waolewa wenyewe wanaziona kasoro zote but wanazipuuza kwa sababu wanataka kuolewa (na hakuna mapenzi hata tone)

Tunashuhudia kina dada wakisacrifice heshima zao na 'kulazimika' kufanya vitu vya ajabu ili tu kumridhisha mchumba.

Tunashuhudia kina dada wakifyatua mimba kila siku zilizotokana na 'kutii' hamu ya wachumba ambao wanaishia kuwatelekeza

Tunashuhudia kina dada wakiingia katika mahusiano na wanaume lukuki kwa sababu tu wanataka ku-maximize chance ya kuolewa.

Tunashuhudia kina dada wakivunja mahusiano na wanaume wanaowapenda kwa sababu wamekutana na aliye tayari kuoa hata kama hawapendani...

Mbaya zaidi wapo wadada wanaoona kabisa unreliability ya ndoa wanazoingia lakini wanasema "bora tu niolewe mwaya, hata nikiachika nitakuwa nimetoa mkosi!!!!"

Kama Mungu kakujaalia uwezo wa kufanya kazi na kuingiza kipato cha kukuwezesha kujikimu na kuwakimu wanaokutegemea, kwa nini uumize kichwa na kuingia kwenye ndoa za mateso na za kukudhalilisha, ili na wewe uonekane umeolewa?

The mere fact ume acknowledge there is a God then u have negated all that u have said hapo juu. nasema hivyo kwa sababu ndoa imeletwa na Mungu hivyo basi kuna umuhimu wakuwa katika ndoa for both men and women. hilo lazima tulikubali.

kutokana na hali ya ulimwengu wa sasa, kweli unaweza kusema kuwa ni vyema basi mtu ubaki kuwa single ili kukwepa manyanyaso na mambo ambayo umetaja hapo juu. ila sasa swali lipo hapa; je ni wanaume wangapi na wanawake wangapi wanaweza kuremain single bila kuwa kgegedana? kama umeamua kuwa single basi wewe sahau mambo ya kugegedana hapo kweli tutakuona wewe una msimamo. tusiwe na double standards za ulimwegu huu ambapo kuwa na gf/bf na kugegedana ni kitu cha kawaida. its wrong machoni kwa Mungu. kegegedana was meant kufanyika baina ya wanandoa tuu. so all in all desire ya wanawake kuolewa wala sio kitu cha kuwalaumu wanawake....its nature we have to accept that.
 
AshaDii umemaliza.Kuolewa ni muhimu.Kwa sababu ya biolojia zetu tulivyoumbwa.vinginevyo wengi wanaibia.wameolewa au kuoa isivyo rasmi nikimaanisha wanaishi maisha ya kindoa pasipo baraka za Mungu au jamii kwenye.ndoa za mitala.Yamkini kwa kutambua hili ndio maana wenzetu waislamu walitambua kuoa wake wanne.Wakristo wengi wameoa zaidi ya mke mmoja kinyemela..
biologia zipoje
 
acha kudanganya wenzio....mwanamke utasemwa na kutukanwa ukiwa single kama wewe mwenyewe u live a reckless lifestyle. kama wewe kweli umeamua kuwa single na kweli hujihusishi kabisa katika mambo ya ngono na mwanaume yoyote hamna mtu atakae sema kitu. problem is ni wanawake wangapi wanaweza kubaki single for their entire life without having bfs or changing bfs?
wewe wasema
 
wewe wasema

sio nasema i have seen living examples....watu hawawezi bwana kuanza kukutusi kuwa unatafuta waume za watu kama kweli wewe umetulia bibie humgusi mwanaume wala kumjua yukoje. tatizo ladies and men choose the single lifestyle but cant accept the consequences of their choices.
 
biologia zipoje

Zina mahitaji.Kwanza tendo la ndoa ni muhimu tena ni takatifu unless wewe ulizaliwa towashi kama paulo.Pili nafsi zetu zinahitaji Upendo hasa wa mme au mke(to love and to be loved).Utasema kuna ndugu lkn haitoshi..
 
ndio maana kuna wadada humi mmu hawajaolewa wanachonga sana humu
 
ndio maana kuna wadada humi mmu hawajaolewa wanachonga sana humu

Thats is the sign of inferiority complex..am sorry to say that..We unajuaje kuwa ni wadada tena wameolewa au hawajaolewa na hizi Ids zetu fake?Nikikwambia mimi ni mbabu wa miaka 70 utabisha?
 
Back
Top Bottom