Tuko
JF-Expert Member
- Jul 29, 2010
- 11,180
- 7,355
Nimeuliza hili swali kwa sababu kwenye jamii yetu baadhi ya kina dada ambao hawajaolewa hadi umri fulani wanakuwa 'desparate' na kupelekea kuchukua maamuzi yanayoshangaza au hata kuwaumiza.
Ingawa ni wachache sana wanaokiri kwa maneno frustrations zao kwa watu, tumekuwa tukishuhudia wengi wao wakikiri kwa matendo yao.
Mi naomba tu niwaambie kina dada kuwa dunia ya sasa imebadilika, watu waliostaarabika hawawapunguzii heshima hata 0.01% wadada ambao hawajaolewa na umri ukiwa umeenda. Kwa wanaodhani kwamba labda jamii inawa-look down kama hawajaolewa, naomba niwahakikishie kuwa ni watu wachache sana, tena wenye mitazamo primitive pengine ndio wanaodhani kuwa kuolewa ni 'ujanja'.
Sikatai kuwa it is something good to have your family composed of you, your BELOVED husband, na watoto kama Mungu atawajaalia. Lakini ni u%$#$$ kuingia kwenye ndoa iliyojaa matatizo na mateso, masimango na kila aina ya udhalilishaji kwa kigezo tu cha kutaka kuolewa. Yes.. tunaona huku mtaani watu wanaingia kwenye ndoa na watu ambao kila mtu anasema OMG!... Na waolewa wenyewe wanaziona kasoro zote but wanazipuuza kwa sababu wanataka kuolewa (na hakuna mapenzi hata tone)
Tunashuhudia kina dada wakisacrifice heshima zao na 'kulazimika' kufanya vitu vya ajabu ili tu kumridhisha mchumba.
Tunashuhudia kina dada wakifyatua mimba kila siku zilizotokana na 'kutii' hamu ya wachumba ambao wanaishia kuwatelekeza
Tunashuhudia kina dada wakiingia katika mahusiano na wanaume lukuki kwa sababu tu wanataka ku-maximize chance ya kuolewa.
Tunashuhudia kina dada wakivunja mahusiano na wanaume wanaowapenda kwa sababu wamekutana na aliye tayari kuoa hata kama hawapendani...
Mbaya zaidi wapo wadada wanaoona kabisa unreliability ya ndoa wanazoingia lakini wanasema "bora tu niolewe mwaya, hata nikiachika nitakuwa nimetoa mkosi!!!!"
Kama Mungu kakujaalia uwezo wa kufanya kazi na kuingiza kipato cha kukuwezesha kujikimu na kuwakimu wanaokutegemea, kwa nini uumize kichwa na kuingia kwenye ndoa za mateso na za kukudhalilisha, ili na wewe uonekane umeolewa?
Ingawa ni wachache sana wanaokiri kwa maneno frustrations zao kwa watu, tumekuwa tukishuhudia wengi wao wakikiri kwa matendo yao.
Mi naomba tu niwaambie kina dada kuwa dunia ya sasa imebadilika, watu waliostaarabika hawawapunguzii heshima hata 0.01% wadada ambao hawajaolewa na umri ukiwa umeenda. Kwa wanaodhani kwamba labda jamii inawa-look down kama hawajaolewa, naomba niwahakikishie kuwa ni watu wachache sana, tena wenye mitazamo primitive pengine ndio wanaodhani kuwa kuolewa ni 'ujanja'.
Sikatai kuwa it is something good to have your family composed of you, your BELOVED husband, na watoto kama Mungu atawajaalia. Lakini ni u%$#$$ kuingia kwenye ndoa iliyojaa matatizo na mateso, masimango na kila aina ya udhalilishaji kwa kigezo tu cha kutaka kuolewa. Yes.. tunaona huku mtaani watu wanaingia kwenye ndoa na watu ambao kila mtu anasema OMG!... Na waolewa wenyewe wanaziona kasoro zote but wanazipuuza kwa sababu wanataka kuolewa (na hakuna mapenzi hata tone)
Tunashuhudia kina dada wakisacrifice heshima zao na 'kulazimika' kufanya vitu vya ajabu ili tu kumridhisha mchumba.
Tunashuhudia kina dada wakifyatua mimba kila siku zilizotokana na 'kutii' hamu ya wachumba ambao wanaishia kuwatelekeza
Tunashuhudia kina dada wakiingia katika mahusiano na wanaume lukuki kwa sababu tu wanataka ku-maximize chance ya kuolewa.
Tunashuhudia kina dada wakivunja mahusiano na wanaume wanaowapenda kwa sababu wamekutana na aliye tayari kuoa hata kama hawapendani...
Mbaya zaidi wapo wadada wanaoona kabisa unreliability ya ndoa wanazoingia lakini wanasema "bora tu niolewe mwaya, hata nikiachika nitakuwa nimetoa mkosi!!!!"
Kama Mungu kakujaalia uwezo wa kufanya kazi na kuingiza kipato cha kukuwezesha kujikimu na kuwakimu wanaokutegemea, kwa nini uumize kichwa na kuingia kwenye ndoa za mateso na za kukudhalilisha, ili na wewe uonekane umeolewa?