Kina dada, kwani kuolewa ni lazima?

Kina dada, kwani kuolewa ni lazima?

Ndoa ni sehemu ya maisha. Unachagua aina gani unataka uishi, kama mwenyewe ameridhika its OK!
 
Unajua kuolewa au kuoana sii jambo la kusumbua sana kwani wanawake na wanaume wapo wengi sana na sii lazma mpelekane sijui msikitina ama kanisani ndo ndoa iwe ndoa la hasha, ni makubaliano tu ya wawili hawa. Suala la kusumbua ni nitampataje yule nina nfikiria kama ndie chaguo langu.Kila mtu ana choice juu ya anaenfikiria kuwa atakuwa mme/mke wake wa baadae. Kwa akina kaka wao sii shida manake anaweza akaamua anaoa leo na ikawa japo inakuwa sio rasmi, sababu ni kwamba anao uwezo wa kujieleza kwa mwanamke yeyote yule bila kujali yukoje kwa maneno bila aibu. Lakini akina dada wao shida inakuja kwani kwao ni vigumu kumtamkia mvulana kuwa nakupenda na nataka tuoana ama unioe. Na ikifikia hapa dada badala ya kujieleza anakuwa anajipitisha pitisha kwa hata asiempenda inlimradi walau mausiano yapatikane. Haya ni maumbile, ndo walivyo umbwa na hakuna namna ya kulikwepa hili. La msingi tu ni kwamba wa tambue kuwa ku haha huku na kule na kuwa na wapenzi wengi sii sababu ya msingi ya kumpata Mme ama kuolewa au kuvaa vijivazi visivyo na heshima et inawatamanisha wanaume ili angalau ajitokeze mmoja akuoe ni ndoto.
Kujieshimu na kuona kuwa mpenzi wangu huyu mmoja nilie nae anaitosha inakujengea wewe msichana heshima ya kuolewa hata na mwanamme mwingine ambae hukuwa nae katika mahusiano.Tabia ya mwanamke ni silaha tosha katika maisha yake hapa duniani lakini huwa hawajui " eti nitakaa ivi hadi lini wakati anashinda baa kulewa siku nzima, nitaolewa lini wakati ana lugha chafu kwa kila mtu apitae mbele yake, nitaolelewa lini wakati mavazi anayo vaa ni aibu tu. Mwanamme yuko selective kuliko kawaida na huwa wanapenda CHALLENGE katika mahusiana.
 
nadhani ujumbe umefika na umeeleweka wanachotakiwa kufanya ni kuendana na dunia inavyo taka wanachotakiwa kufanya ni kuhakikisha wanaweza kuendesha aisha yao bila kuwa tegemezi kea wanaume na hilo tazizo litaondikA
 
Kweli tuko hili ni janga la kitaifa....ila kuolewa sio lazima kila mtu na maisha yake.ila hapa bongo usipoolewa bana ooohhh cha moto utakiona hasa hawa mrs fulani bwana wakimuona mdada wa watu msingle lady, basi roho inakuruka,, oo huyu malaya kazi yake kutafuta waume za watu, hana mbele wala nyuma, hajatulia, yani sijui nani atamuoa na maneno kibao,, alikuambia anataka kuolewa? Kama sio umbea,, wewe kabla ya kuolewa hukuwa single lady? Huyo mumeo ulimtengeneza mwenyewe au na yeye alikuwa wa fulani, basi tu kaona unamfaa sana ndo akaamua kukuchukua muishi maisha yenu? Basi ndo mtoto wa kike jiamini, muache single lady wa watu na maisha yake, malaya yeye, anataka wa ume za watu yeye, inakuhusu nini? Wewe mumeo si unaye ndani si umfanye asiende bar, si umfanya asiwe na hao single lady? Sio vizuri kabisa, wewe kupata mume usifikiri kila mtu ana hobie ya kuolewa, mume bongooo!!!!!!!11

mmmmhh..
 
" Wakati huo wanawake saba watamvamia mwanamume mmoja na kumwambia,"Chakula na mavazi tutajitafutia wenyewe,lakini wewe utondolee aibu yetu,utunusuru tuitwe kwa jina lako." Si maneno yangu bali ni nukuhu za kutoka ISAYA 4:1.
Mungu atusaidie maana yaliyoandikwa ndio yanatimia sasa..
 
KWA DADA ZANGU wapendwa

1. Wakati upo busy unatafuta mwanaume mwenye gari wasichana wenye umri wako wako busy wanaendesha magari yao wenyewe

2.Wakati upo busy unamtafuta mwanaume mwenye fedha,wasichana wenye umri wako wanafanya kazi kwa bidii kupata fedha zao wenyewe

3.Wakati upo busy unadating wavulana 20 kesho mara juma mara John wasichana wenye umri wako wako busy wapo engaged tayari kwa kuolewa

4.Wakati upo busy unaenda nightclubs mara maisha,mara billcanas wasichana wenye umri wako wapo busy wanaenda kanisani na Msikitin

5.Wakati upo busy unajipendekeza kwa lecturers ili wakupe high grades 4 sex, wasichana katika umri wako wapo bize wanapambana kuakikisha wana pata marks nzuri wenyewe

6.Wakati upo busy kumpenda mtu asiyekupenda,wasichana katika umri wako wako busy wanawapenda wanaowapenda..

#Usipanic sister just ushauri tu
 
Back
Top Bottom