Hahahahahahaha mkuu umenivunja mbavuMbona hali kama hiyo haijamtokea Bi. Kiroboto bado?
Hahahahahahaha mkuu umenivunja mbavuMbona hali kama hiyo haijamtokea Bi. Kiroboto bado?
Ndiooooooooooo, nafikiri tuliosema ndio tumeshinda na tupo wengi tu, kama huamini nitaku-pm uone. Ahsanteeeeeeeeeeeeeee. Halafu wewe Lindu Linduuuu kaa chini nimekusikia.afu part time wapo wa kutosha tu , sio ishu sana ndoa zenyewe za crush programme
Hahahahahahaha mkuu umenivunja mbavu
hahhha wanawake ambao wanataka kuwa wake lazima wa waze sana lakini kwa hawa wa digitally ambao wanagegedwa daily haiwezi kuwa tatizo kwao
Mama alinambia wanaume hawaishi,Elimu ndio ngao yako.
kwani hiyo elimu inaisha?
kwa umli wako unaweza kufanya shule na ndoa simultaneouslynina miaka 29,na swala la ndoa naliona sio bahati yangu i mean sijioni nikiolewa in next five years,siingii ng'o mpaka niwe nimekamilisha mipango ya shule which will take me five years............:tape2:
Ndoa ni kitu kizuri sana mki match,, I am 27 kasoro but mda si mrefu naingia kwenye ndoa na I believe devorce nitaisikia kwa watu tu.. My mind is ready for that na nataman siku ifike haraka
wacha weee vp umeolewa kwani....:rockon:mie naona kuolewa ni kuondoa nuksi tu sio ishu kivile, ishu ni ku make money you gat me
Mwaliii nyindaaaa..:rockon:Uliyo sikia sio kweli.
Ulisililia wapi vile?
Kijijini kwa bibi au?