Kimbembe cha VAT: Wawekezaji wanaondoka!!

Kimbembe cha VAT: Wawekezaji wanaondoka!!

Hivi kuna Mtanzania anaweza kwenda Thailand akawekeza uzalishaji wa chakula cha kuku? Hata chakula cha kuku tunahitaji muwekezaji toka nje ya nchi karne? Huyo aliwekeza kwa vile tulikuwa na sheria za shamba la bibi. Sasa tumestuka na hana budi kukimbia.
 
Wadau, habari za majukumu! Baada serikali mpya kuingia waliingiza VAT kila sehemu hata kwa waliosamehewa kodi hiyo, nasemea upande wa watengenezaji chakula cha kuku! Kampuni ya thailand CPF wanafunga operation na kuondoka mwisho wa mwezi huu!! Nawasilisha
Wakwepa kodi
 
Hizi habari ndio huwa Furaha kwa majizi Chadema..

Kwa taarifa yenu hata abaki muwekezaji mmoja nchi nzima lazima alipe kodi
Majizi CDM.?? Keshakuwa mwenyekiti sasa ndo mtajuwa majizi ya MAKASHFA YOTE yapo wapi
 
Hivi kuna Mtanzania anaweza kwenda Thailand akawekeza uzalishaji wa chakula cha kuku? Hata chakula cha kuku tunahitaji muwekezaji toka nje ya nchi karne? Huyo aliwekeza kwa vile tulikuwa na sheria za shamba la bibi. Sasa tumestuka na hana budi kukimbia.
Kwani kuna sheria iliyobadirishwa..?
 
Wadau, habari za majukumu! Baada serikali mpya kuingia waliingiza VAT kila sehemu hata kwa waliosamehewa kodi hiyo, nasemea upande wa watengenezaji chakula cha kuku! Kampuni ya thailand CPF wanafunga operation na kuondoka mwisho wa mwezi huu!! Nawasilisha
KLM walipoondoka Tanzania ilikuwa ni kwa ajili ya VAT?!
Barclays Bank na Barrick Gold walipouza baadhi ya machimbo yao ni kwa ajili ya VAT?!
Hata ukiondoa kodi ya VAT haitazuia baadhi ya wawekezaji kuondoka. Cha muhimu ni kuvutia wawekezaji wengi kuja kuwekeza zaidi ya wanao ondoka.
 
Waondoke tu, hatuhitaj wanyonyaji. Waende uingereza au USA wakawekeze tuone kama hawatatozwa kodi
Waafrika ni wajinga lakini Watanzania Ni wajinga zaidi! Mbaya kuliko ni kwamba hatujapata kujifunza chochote kutoka kwa walipotea na sisi tunapita mlemle! Unafurahia wawekezaji kuondoka ! Wakiondoka mtashangaa hata kumshangilia huyu Magufuli hamtaweza.
 
Wadau, habari za majukumu! Baada serikali mpya kuingia waliingiza VAT kila sehemu hata kwa waliosamehewa kodi hiyo, nasemea upande wa watengenezaji chakula cha kuku! Kampuni ya thailand CPF wanafunga operation na kuondoka mwisho wa mwezi huu!! Nawasilisha
ila na sisi watanzania tumejisahau sana yaani hata kazi ya kutengeneza chakula cha kuku tunahitaji wawekezaji toka nje? be serious guys!
 
Walipe kodi ilikua inaniuma sana kila mwezi nakatwa 150,000/= wakati mwekezaji halipi kitu
 
Wadau, habari za majukumu! Baada serikali mpya kuingia waliingiza VAT kila sehemu hata kwa waliosamehewa kodi hiyo, nasemea upande wa watengenezaji chakula cha kuku! Kampuni ya thailand CPF wanafunga operation na kuondoka mwisho wa mwezi huu!! Nawasilisha

Kuna kiwanda kikubwa cha chakula cha kuku kuliko Silverlands Tanzania Ltd?
https://www.opic.gov/sites/default/files/files/silverlands-info-summary.pdf

Silverlands Tanzania yapania kuinua uchumi kwa wananchi kupitia ufugaji wa vifaranga bora vya kuku - DEWJIBLOG

They are here to stay!!!! acha upotoshaji
 
Halafu biashara yenyewe kuuza chakula cha king...what a joke[emoji12] [emoji12] [emoji12]




unataka kusema ufugaji wa kuku ni kazi ya kipuuzi? utafuga vipi kuku bila kupata vyakula vyao? au wote waajiliwe serikalini hakuna kujiajiri hatar sana.
 
Daaah unaweza kuwa na wazo zuri ila approach unayotumia ndo mtihani. Kodi ni nzuri ila approach inayotumika inaweza kuwa tatizo
Nakuunga mkono
Tatizo sio kodi tatizo ni approach
 
Hizi habari ndio huwa Furaha kwa majizi Chadema..

Kwa taarifa yenu hata abaki muwekezaji mmoja nchi nzima lazima alipe kodi
Sa siasa zinatokea wp sasa badala ya kujadili hoja?
 
Saa nyingine hasa ni kiwango cha hiyo VAT. Mfanyibiashara anapoamua kuondoka ujue yamemfika shingoni. Si jambo rahisi kufungasha biashara kama bado unapata faida.
Lazima ufikirie kwa akili na siyo kwa mihemko tu.
Same applies to you bi mdogo shuhulisha akili yako kuyaangalia matukio kwa mapana yake dont be confined on what you read from this post, kila kona ya nchi hii tumetangaziwa kwamba wafanyabishara wengi walikua hawalipi kodi na ushahidi ni pale bandarini na kwengineko. so sio jambo la ajabu kwamba wale waliokuwa hawalipi kodi lazima watambae na sio hao tu hata wa hapa hapa nchini lazima wafunge biashara zao. Nani hajui kwamba kuna maduka ukienda kununua bidhaa unapewa live bei ya kupewa risiti na bei ya bila risiti. Hujiulizi kwa nini wanafanya hivyo? Anyway sikulaumu kwa sababu upeo wako ni hafifu kuweza kujua mambo yanavyoenda kwenye jamii, waachie wengine wewe jishuhulishe na mambo ya saloon may be ndio size yako. Sawa sawa?
 
Back
Top Bottom