Mudawote
JF-Expert Member
- Jul 10, 2013
- 11,572
- 16,047
Shut up! Subiri mwanaume Dr Magufuli afanye mambo.Mbele kiza kinene
Shut up! Subiri mwanaume Dr Magufuli afanye mambo.Mbele kiza kinene
Wacha woga salary slip. Inahitaji ujasiri kulete mabadiliko. I bet a person like you cannot initiate change.In vain wakati mambo yameshaanza kwenda mrama?!
Hata wakati wa JK misaada kama hiyo ilikuwepo.Amerika watoa shs bl mia nane jana kusaidia maendeleo tz.
VATI INALIPWA NA MRAJI KWANINI KAMPUNI IFUNGWE
Unakinena usichokijua, we unafikiri nchi inaendeshwa kwa kuwatoza kodi wauza vitumbua? Hii issue ni seriousHizi habari ndio huwa Furaha kwa majizi Chadema..
Kwa taarifa yenu hata abaki muwekezaji mmoja nchi nzima lazima alipe kodi
Wadau, habari za majukumu! Baada serikali mpya kuingia waliingiza VAT kila sehemu hata kwa waliosamehewa kodi hiyo, nasemea upande wa watengenezaji chakula cha kuku! Kampuni ya thailand CPF wanafunga operation na kuondoka mwisho wa mwezi huu!! Nawasilisha
Yaani kutengeneza chakula cha kuku tulete watailand? Let them go! Watanzania hamjui hata maana ya wawekezaji. Kama unaweza kulima mwenyewe utakuwa mjinga kutafuta mtu wa kumkodisha ili akulipe ushuru badala ya kulima mwenyewe ukapata faida zaidi. Shughuli tunazoweza kufanya serika wenyewe serikali iweke mazingira magumu kwa wageni na bidhaa za nje na kuwawezesha watanzania kuzalisha wenyewe. Hiyo ndio mikakati ya kiuchumi sio kukalili wawekezaji hata sehemu zisizoWadau, habari za majukumu! Baada serikali mpya kuingia waliingiza VAT kila sehemu hata kwa waliosamehewa kodi hiyo, nasemea upande wa watengenezaji chakula cha kuku! Kampuni ya thailand CPF wanafunga operation na kuondoka mwisho w mwezi huu!! Nawasilisha
Wadau, habari za majukumu! Baada serikali mpya kuingia waliingiza VAT kila sehemu hata kwa waliosamehewa kodi hiyo, nasemea upande wa watengenezaji chakula cha kuku! Kampuni ya thailand CPF wanafunga operation na kuondoka mwisho wa mwezi huu!! Nawasilisha
Masikini watanzania!!! yaani inafikia hatua ya kuona ni afadhali muwekezaji aendelee tu kuingiza fedha kwa biashara anazofanya nchini bila kulipa kodi za serikali!!!
Macho yaliyopofuka.Yetu macho!!!
Huyo atakuwa alikuwa halipi kodi labda wala si VAT..Wadau, habari za majukumu! Baada serikali mpya kuingia waliingiza VAT kila sehemu hata kwa waliosamehewa kodi hiyo, nasemea upande wa watengenezaji chakula cha kuku! Kampuni ya thailand CPF wanafunga operation na kuondoka mwisho wa mwezi huu!! Nawasilisha
Unahamu na kirungu? Njoo nikupeMacho yaliyopofuka.
Na mlisema ameigeuza nchi shamba la bibi watu hawapili kodi..Hata wakati wa JK misaada kama hiyo ilikuwepo.
Lugha ya shari kulikoni?Unahamu na kirungu? Njoo nikupe
New Zimbabwe is around the corner!