Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 123,250
- 98,247
Yaani umejiunga jf kuja kushabikia ujinga kama huu?Acha waende wa Tanzania wangap tuna weza kutengeneza chakula cha kuku wana tunyima ajira ao
Yaani umejiunga jf kuja kushabikia ujinga kama huu?Acha waende wa Tanzania wangap tuna weza kutengeneza chakula cha kuku wana tunyima ajira ao
Lowasa ndiye mpango mzima chaguo la mamilioni ya watanzaniaKwa sababu unamtizamo hasi. Tungoje Lowassa atakapokuwa rais mambo yote yatakwenda sawa.
Kwa wana lumumba ni nuru tuMbele kiza kinene
Uranium hiyo inawafanya wajifanye vipofu tu subiri iisheAmerika watoa shs bl mia nane jana kusaidia maendeleo tz.
Kampikie mumeoShut up! Subiri mwanaume Dr Magufuli afanye mambo.
Akiondoka chukua fursa maana hvyo viwanda hata mtanzania yoyote yule anaweza kuzifanya ,hata na hivyo vyati analipa mteja wa mwisho na si mwekezaji
Sio mamilioni bali matrilioni.Lowasa ndiye mpango mzima chaguo la mamilioni ya watanzania
Hesabu haiongopi kamweSio mamilioni bali matrilioni.
Nilikosea. Dunia nzima imempigia kura. Yaani viumbe vyote vilivyo duniani na mbinguni.Hesabu haiongopi kamwe
Lowassa ni chaguo la mamilioni ya watanzania. ..periodNilikosea. Dunia nzima imempigia kura. Yaani viumbe vyote vilivyo duniani na mbinguni.
Nimekaa Ulaya, kodi huko ni kiboka na hakuna ukwepaji maana its a controlled economy.
Sweden VAT ni 25%
Income Tax 0% kwa wasiojiweza/masikini , lakini mishahara ya kawaida from 31%-56% ya mshahara
Kama unatoa zawadi kuna Gift Tax
Kama una property vile vile ipo Property Tax, na kama una state kuna Estate Tax
Kama mtu tajiri amekufa na kurithisha mali yake kwa mtoto kuna Inheritance Tax
Sio vibaya. Hongera zake; lakini urais atausikia kwenye redio tu.Lowassa ni chaguo la mamilioni ya watanzania. ..period
Akili za mwendokasi....bora haya makampuni yasilipe kodi lakini wakati huo huo yana create businesses mbalimbali na kutoa ajira nyingi. Ukijumlisha hivyo vyote serikali inapata faida kubwa kuliko hayo makampuni yakiondoka...
Chadema haijawahi kuwa madarakani kualika wawekezaji hivyo unaongea bila kifikiria utaendup kumtukana waziri fulani.Hizi habari ndio huwa Furaha kwa majizi Chadema..
Kwa taarifa yenu hata abaki muwekezaji mmoja nchi nzima lazima alipe kodi