Kweli. Mfano mwingine mzuri zaidi ni wa Venezuela - nchi tajiri yenye visima vingi vya mafuta. Kiongozi wao (Maduro) ana tabia hizi hizi tunazozishuhudia ... ukurupukaji, ubabe dhidi ya wapinzani wake, ukanda, uvunjaji wa katiba, u-Mungu mtu, kulaumu wawekezaji & kuwaita wanyonyaji, etc. Matokeo yake wawekezaji wameondoka na mitaji yao, hakuna ajira, hakuna mzunguko wa fedha, serikali haina hela ya mishahara na katoa decree wafanyakazi wa serikali waende kazini siku 2 tu kwa wiki, biashara zimesimama na hamna bidhaa madukani - badala yake akiamka vizuri anaamua mipaka ya nchi ifunguliwe ili watu wakafanye shopping Colombia. Na sisi inaonekana tunaelekea huko huko