Tunazungukia palepale.Kwenye azimio la Arusha tulitaifisha Mali,kisha tukashindwa kumanage makampuni hayo!Tukafulia hadi Mzee wa Masasi akalianzisha la kuuza Mashirika ya umma mfilisi na Kuwaita wawekezaji.Hapo katika tena tukashindwa kuwa na terms and conditions zitakazokuwa beneficial kwa pande zote,tukapigwa wee,hadi chali.
Wakati wote huo hatujatengeneza Mkakati wa kuwawezesha wazawa Kiuchumi na Kifikra ili wa fill gaps.Ila kwa Ujinga tunashabikia investor's kuondoka,kisa kodi.Tusipongalia Tunafuata nyayo za Zimbabwe au Venezuela kwa Mwendokasi.