Kimbembe cha VAT: Wawekezaji wanaondoka!!

Kimbembe cha VAT: Wawekezaji wanaondoka!!

Masikini watanzania!!! yaani inafikia hatua ya kuona ni afadhali muwekezaji aendelee tu kuingiza fedha kwa biashara anazofanya nchini bila kulipa kodi za serikali!!!
Sisi ni watu wa ajabu kweli basi tumuondoe Rais abakiye huyo mwekezaji wa chakula cha kuku. Kwanza kulikuwa na haja kweli ya kuwa na mwekezaji kwa ajili ya chakula cha kuku? ile Inter chick ipo wapi? Ungekuwa na ufahamu mzuri ungesema mwekezaji wa chakula cha kuku anaondoka kwa hiyo serikali ifufue ile kampuni ya Inter chick kama ilikufa sijui sio kulilia mwekezaji asiyetaka kulipa kodi
 
Hakuna nnchi ambayo inaendeshwa bila kodi wacha waondoke manake wamezoea kuja ku make profit huku bila kulipa kodi wacha waende zao kula ambapo hawalipi kodi pumbafffffff
 
kwa hiyo wajazane humu,watuzalishie takataka, wachafue mazingira, wachukue maeneo kwa bei yakutupa halafu kodi hawalipi?? ni wa kazi gani sasa waende wakafanye hivyo nchini mwao
 
Wadau, habari za majukumu! Baada serikali mpya kuingia waliingiza VAT kila sehemu hata kwa waliosamehewa kodi hiyo, nasemea upande wa watengenezaji chakula cha kuku! Kampuni ya thailand CPF wanafunga operation na kuondoka mwisho wa mwezi huu!! Nawasilisha
wacha waondoke kama hawataki kulipa kodi.
 
Hakuna nnchi ambayo inaendeshwa bila kodi wacha waondoke manake wamezoea kuja ku make profit huku bila kulipa kodi wacha waende zao kula ambapo hawalipi kodi pumbafffffff
Tatizo ni output ya hizo kodi, ndio inakatisha tamaa na kuona bora kuacha kulipa tu. At least Magu amekuja labda atarudisha uzalendo wa kulipa kodi
 
Wadau, habari za majukumu! Baada serikali mpya kuingia waliingiza VAT kila sehemu hata kwa waliosamehewa kodi hiyo, nasemea upande wa watengenezaji chakula cha kuku! Kampuni ya thailand CPF wanafunga operation na kuondoka mwisho wa mwezi huu!! Nawasilisha
kwao hakuna VAT? tofautisha wawekezaji na wezi, hakuna mwekezaji hasiyejua thamani ya VAT
 
Masikini watanzania!!! yaani inafikia hatua ya kuona ni afadhali muwekezaji aendelee tu kuingiza fedha kwa biashara anazofanya nchini bila kulipa kodi za serikali!!!
Huduma ambayo hailipiwi VAT si lazima kwamba hailipi kodi za mapato na nyinginezo.
 
New Zimbabwe is around the corner!
It is very true.

Kiburi cha huyu jamaa hakitofautiani na cha huyo jamaa Rais wa maisha.......

Wao kazi yao kuwatukana watu wa mataifa ya magharibi, wakati kutwa kucha mabakuri yao ya 'kimatonya' wameyaelekeza huko huko kuomba msaada.....
 
Eti kutengeneza chakula cha kuku nao ni uwekezaji, na haulipi kodi, duh...
 
Mkuu Mt
Udikiteta unaosemwa na kukusanya mapato vitu viwili tofauti usichanganye madesa.

Pili ulipigiwa kelele ufisadi na mfumo pendeleo ccm, vipi sasa rais ameumaliza huo mfumo? kama bado mafisadi wapo, upendeleo bado upoo ,huduma bado mbovu hospitals, Elimu bado kutengemaa, maisha ni magumu kwa ujumla wake, badala ya kuendelea kuboresha ufuatiliaji wa mapato, sasa unaongeza kodi kufukuza wawekezaji au kuboresha mfumo? Unategemea nini?
Mkuu Mtunzasiri kwanza ni lazima ufahamu kuwa hakuna Serikali inayoendeshwa bila watu kulipa kodi, suala la kodi ni muhimu sana muda mrefu uliopita wafanyakazi ndiyo walikuwa wanalipa kodi tena kubwa tu PAYE ambayo ukusanyaji wake ni rahisi sana , kodi hizi zingine ukusanyaji wake ni mgumu na wengi wa walipaji walikuwa wanakwepa kulipa kabisa ama wanakusanya lakini inakotakiwa ifikishwe haifiki tatizo likawa hapo, sasa Serikali imejitahidi kubana mianya yote mnaanza kulalamika tuwaeleweje?
 
Jeg var i Majorstua i Oslo.
hahaha mkuu Oslo nimekaa kaa kidogo Jeg har bodd i henofoss i to uker i 2011, men tilbringer mye tid i Bergen og Trondheim b4 goin back to Copen was doing dishwashing and cleaning. You must know this people Tenga, Mohamed Semboja Nasib mwanukuz
 
hahaha mkuu Oslo nimekaa kaa kidogo Jeg har bodd i henofoss i to uker i 2011, men tilbringer mye tid i Bergen og Trondheim b4 goin back to Copen was doing dishwashing and cleaning. You must know this people Tenga, Mohamed Semboja Nasib mwanukuz
Nimekupata mkuu. Tukiendelea la lugha hii watatu report. Tutatafutana inbox
 
Nimekupata mkuu. Tukiendelea la lugha hii watatu report. Tutatafutana inbox
hahaha Mods siku hiz hawana masiala hata ukiandika k.ilaza wanakupiga ban. Ntakutafuta inbox
 
Back
Top Bottom