Kimbembe cha VAT: Wawekezaji wanaondoka!!

Kimbembe cha VAT: Wawekezaji wanaondoka!!

BTW wewe hujui hata kutengeneza chakula cha kuku? Hadi utengenezewe na Mthailand
Mapovu tu yamewajaa! Ndugu zetu wanakosa kazi zaidi watu 200 direct employed na wafugaji.....wanaotegemea chain yao wote chali! Wish ungejua kitu kinaitw contract farming waliokuw nayo hao jamaa! Wamesaidia sana kuwanyanyua wafugaji wadogo wadogo! Hakuna tena fursa kukua kwa wafugaji!! Tutawakumbuka CPF!
 
NAUZA SIMU AINA YA TECNO.C.8 SH.LAKI 2 NA NUSU,IMETUMIKA MWEZI MMOJA TU INA GERENTEE MWAKA MMOJA.
 
kodi kama sisi wazawa tunawajibika kulipa,sembuse hao wageni?muda wa shamba la bibi umeshapita.! Sasa kazi tu.
 
Masikini watanzania!!! yaani inafikia hatua ya kuona ni afadhali muwekezaji aendelee tu kuingiza fedha kwa biashara anazofanya nchini bila kulipa kodi za serikali!!!
Ndio Akili za Bavicha hizo! Hivi ndio wapewe Nchi?
 
Endeleeni tu "wauza magazeti" kwenye jiji la Oslo na viunga vyake.
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] sio kila mtu muuza magazeti bro. Mie nilikua kule kwa kazi maalum. Nilisharejea uswazi napiga kazi.
 
Wadau, habari za majukumu! Baada serikali mpya kuingia waliingiza VAT kila sehemu hata kwa waliosamehewa kodi hiyo, nasemea upande wa watengenezaji chakula cha kuku! Kampuni ya thailand CPF wanafunga operation na kuondoka mwisho wa mwezi huu!! Nawasilisha
Pole yai
 
Wadau, habari za majukumu! Baada serikali mpya kuingia waliingiza VAT kila sehemu hata kwa waliosamehewa kodi hiyo, nasemea upande wa watengenezaji chakula cha kuku! Kampuni ya thailand CPF wanafunga operation na kuondoka mwisho wa mwezi huu!! Nawasilisha
Vipi sahizi wamerudi???
 
Vipi sahizi wamerudi???
Waligoma wengi hawajarudi.....labda wamekuja wawekezaji wapya......mfano wale CPF daaa wamegoma wanasema Africa Regime ni shida kila Rais akija anaona mwenzake hakufanya vizuri anavuruga.....waligoma....sasa wapo Hill na Interchick kwemye mambo ufugaji kuku.....wa mikataba...ndio fursa kuuubwa kwa wafugaji wadogo....kuweza kukua...
 
Waligoma wengi hawajarudi.....labda wamekuja wawekezaji wapya......mfano wale CPF daaa wamegoma wanasema Africa Regime ni shida kila Rais akija anaona mwenzake hakufanya vizuri anavuruga.....waligoma....sasa wapo Hill na Interchick kwemye mambo ufugaji kuku.....wa mikataba...ndio fursa kuuubwa kwa wafugaji wadogo....kuweza kukua...
Hawa interchick ni wagumu kuchangia serikali as "CSR" wao wanachojua ni kupiga hela tu.
 
Back
Top Bottom