Kimbelembele cha CHADEMA kimewatokea puani

Ahh, huyu hapa member mwingine wa CHADEMA akiongea na watoto. Kweli watoto ni Mungu, wapigie magoti.

IMG_3819.JPG

Bado umekomaa? Think big! Kumbuka uwekezaji, hawa watoto hawajachakachuliwa kisiasa hivyo navyo unataka uingizwe darasani?Huo ni umbumbu na ufinyu wa kufikiri.
 
Ok,nitaweka picha uone wanafunzi wa Nursery walivyorundikana kwenye mkutano wa Naibu k/mkuu na k/mkuu uenezi.
Huyu ni nani? Kuna Cheo kama hiki Chadema? Mwanafunzi wa Chuo Kikuu uandishi wako unatia shaka... sembuse ukweli wa taarifa yenyewe
 
kelele zote ambazo zitto,mnyika,pro-cdm mulizokuwa munapiga kuhusu mkonge nilijua wananchi wa tanga wapo upande wenu kumbe kimbelembele chenu ndicho kilichokuwa kinawasumbua.

Wananchi wa tanga hawapo tayari kuhusika kwenye kilimo cha mkonge,ushaidi wakimazingira unaonesha wazi kabisa jinsi wananchi walivyokataa kuitikia kwenye mkutano wa cdm. Picha zilizooneshwa kwenye media mbalimbali utagundua ninachonena.
Kwanza, mkutano uliuzuliwa na watu wachache,tofauti na mikutano mingi ya cdm.

Pili,hata hao tunaosema ni wachache kwenye uchache wao huohuo watoto wadogo ambao hawawezi kupiga kura hata baada ya 2015 kufikia ndio walikuwa weng kuliko hao watu wazima.

my take:
-kesheni mukiomba wa cdm cha chenu kiwe na mvuto sehemu mbalimbali ya tz.
-wabunge wenu wasipende kutia chapuo vitu ambavyo hawajafanyia uchunguzi.

wazee wa sumu (mwakyembe vs lowasa) majibu?,kilimo kwanza?nguvu zaidi,ali zaidi na kasi zaidi? Maisha bora kwa kila m-tz?mauaji ya raia toka kwa polisi-ccm?leo songea up next?kweli nyani haangalii kundule!ndo yale ya kauli tata from nyie vitambi vyura aka ccm.ueni tu ipo siku ya kuvuna mtapandalo.
 
Kelele Zote ambazo Zitto,mnyika,pro-cdm mulizokuwa munapiga kuhusu mkonge nilijua wananchi wa Tanga wapo upande wenu kumbe kimbelembele chenu ndicho kilichokuwa kinawasumbua.

Wananchi wa Tanga hawapo tayari kuhusika kwenye kilimo cha MkONGE,ushaidi wakimazingira unaonesha wazi kabisa jinsi wananchi walivyokataa kuitikia kwenye mkutano wa CDM. Picha zilizooneshwa kwenye media mbalimbali utagundua ninachonena.
Kwanza, mkutano uliuzuliwa na watu wachache,tofauti na mikutano mingi ya CDM.

Pili,hata hao tunaosema ni wachache kwenye uchache wao huohuo watoto wadogo ambao hawawezi kupiga kura hata baada ya 2015 kufikia ndio walikuwa weng kuliko hao watu wazima.

My take:
-kesheni mukiomba wa CDM cha chenu kiwe na mvuto sehemu mbalimbali ya Tz.
-Wabunge wenu wasipende kutia chapuo vitu ambavyo hawajafanyia uchunguzi.

1. Hujui lugha wala matumizi yake. Hizo red ni utumbo mtupu, sio kiswahili hicho. Mlizokuwa sio Mulizokuwa, n.k
2. Hujiamini: unaongea collectively sababu huna imani na unachoamini. Hapo kwenye blue ni dalili ya mtu muoga asiyeweza kusimamia kauli zake. TUNAPOSEMA = wewe na nani?
3. Hujui unachoongea. CDM wanaadress matatizo ya wananchi na sio kutafuta mvuto. Kushangiliwa na watu wengi hakumaanishi unachokiongea ndio cha maana zaidi ya kile kilichosikilizwa na wachache. Naamini ungepigwa mdundiko pale watu wangejaa zaidi ya mkutano: Je, mdundiko ni muhimu kuliko matatizo ya wananchi?

Umeahidi kuweka picha zenye kuonesha jinsi watoto walivyojaa kwenye mkutano lkn mpk sasa kimya. Kwa maelezo yako ulisema kuna picha kwenye media mbali mbali lkn mpk sasa namuona Nape akihutubia watoto na mwingine sijui nani (to hell with his suti) akiwapigia watoto magoti, huo ndio ushahidi wenyewe?

Unashauri wabunge wafanye uchunguzi kabla hawajakurupuka, mbona wewe hukukusanya picha zako za ushahidi kabla hujaleta hii mada ya kimbeambea hapa jamvini?

My take:
CCM ikiendelea kuwatumia watu wa bei ndogo kama wewe kwenye propaganda, hata haka kaheshima ka kuungaunga nako katapotea. Ukitaka kuyahoji ya CDM nenda kwanza darasani upate elimu ndio unaweza kuelewa somo.

Read between the lines
 
Kelele Zote ambazo Zitto,mnyika,pro-cdm mulizokuwa munapiga kuhusu mkonge nilijua wananchi wa Tanga wapo upande wenu kumbe kimbelembele chenu ndicho kilichokuwa kinawasumbua.

Wananchi wa Tanga hawapo tayari kuhusika kwenye kilimo cha MkONGE,ushaidi wakimazingira unaonesha wazi kabisa jinsi wananchi walivyokataa kuitikia kwenye mkutano wa CDM. Picha zilizooneshwa kwenye media mbalimbali utagundua ninachonena.
Kwanza, mkutano uliuzuliwa na watu wachache,tofauti na mikutano mingi ya CDM.

Pili,hata hao tunaosema ni wachache kwenye uchache wao huohuo watoto wadogo ambao hawawezi kupiga kura hata baada ya 2015 kufikia ndio walikuwa weng kuliko hao watu wazima.

My take:
-kesheni mukiomba wa CDM cha chenu kiwe na mvuto sehemu mbalimbali ya Tz.
-Wabunge wenu wasipende kutia chapuo vitu ambavyo hawajafanyia uchunguzi.
Nilidhani JF ni ya Great Thinkers tu, kumbe hata low thinkers pia wamo! Hebu mtazameni huyu gamba; mkutano ufanyike kwenye vijiji anataka uhudhuriwe na maelfu ya watu. Hilo linawezekana tu kwa Chama cha Mafisadi na vibaka a.k.a. CCM na maswahiba zao (Jina kapuni) wenye tabia ya kusombelea watu toka mamia ya kilometa ili wakaongeze idadi ya wahudhuriaji kuridhisha wapiga picha. Poleni magamba na "Haki si Sawa kwa wote" mpoooo?
 
Ngoja nikusaidie picha za watoto....

A%5B1%5D.JPG

Kweli huna akili,unaweka ppicha hiyo ukituambia ni mkutano wa CDM wakati nyuma kwenye iyo picha tunaona bendera nyingine.Au wewe kipofu?sikunyingine jipange kabla hujaweka picha za ajabu
 
Kelele Zote ambazo Zitto,mnyika,pro-cdm mulizokuwa munapiga kuhusu mkonge nilijua wananchi wa Tanga wapo upande wenu kumbe kimbelembele chenu ndicho kilichokuwa kinawasumbua.

Wananchi wa Tanga hawapo tayari kuhusika kwenye kilimo cha MkONGE,ushaidi wakimazingira unaonesha wazi kabisa jinsi wananchi walivyokataa kuitikia kwenye mkutano wa CDM. Picha zilizooneshwa kwenye media mbalimbali utagundua ninachonena.
Kwanza, mkutano uliuzuliwa na watu wachache,tofauti na mikutano mingi ya CDM.

Pili,hata hao tunaosema ni wachache kwenye uchache wao huohuo watoto wadogo ambao hawawezi kupiga kura hata baada ya 2015 kufikia ndio walikuwa weng kuliko hao watu wazima.

My take:
-kesheni mukiomba wa CDM cha chenu kiwe na mvuto sehemu mbalimbali ya Tz.
-Wabunge wenu wasipende kutia chapuo vitu ambavyo hawajafanyia uchunguzi.

Hata hivyo watu wa tanga hawapendi kujishuhulisha so ni raisi kuwapuuza watu wanaowaendea kwa nia ya kuwashawishi wajishuhulishe ila ingekuwa wanawapa mbinu za kuongeza wake wangewaunga mkono
 
Hata hivyo watu wa tanga hawapendi kujishuhulisha so ni raisi kuwapuuza watu wanaowaendea kwa nia ya kuwashawishi wajishuhulishe ila ingekuwa wanawapa mbinu za kuongeza wake wangewaunga mkono

Naunga mkono. Kwao kujenga choo tu ni bugdha wanajisaidia vichakani na baharini.

Huyu hana anachojua, kakurupuka tu kutoka alikokuwa anavunja amri ya sita kwa kuwa sasa anajisikia mwepesi basi vidole vikaanza kutaip utumbo wa bata bukini
 
Kelele Zote ambazo Zitto,mnyika,pro-cdm mulizokuwa munapiga kuhusu mkonge nilijua wananchi wa Tanga wapo upande wenu kumbe kimbelembele chenu ndicho kilichokuwa kinawasumbua.

Wananchi wa Tanga hawapo tayari kuhusika kwenye kilimo cha MkONGE,ushaidi wakimazingira unaonesha wazi kabisa jinsi wananchi walivyokataa kuitikia kwenye mkutano wa CDM. Picha zilizooneshwa kwenye media mbalimbali utagundua ninachonena.
Kwanza, mkutano uliuzuliwa na watu wachache,tofauti na mikutano mingi ya CDM.

Pili,hata hao tunaosema ni wachache kwenye uchache wao huohuo watoto wadogo ambao hawawezi kupiga kura hata baada ya 2015 kufikia ndio walikuwa weng kuliko hao watu wazima.

My take:
-kesheni mukiomba wa CDM cha chenu kiwe na mvuto sehemu mbalimbali ya Tz.
-Wabunge wenu wasipende kutia chapuo vitu ambavyo hawajafanyia uchunguzi.

WEWE NI MB...........................U.............................Z.................................I.angea point na si razima upost kama huna la kutujuza, we tulia soma point za wenzio, kuku wewe,nitakuoereka maswa ukalime pamba
 
Back
Top Bottom