Farkhina nataka mke kama wewe! Unajitambua na unatambua maamrisho na makatazo ya dini yako.!!!
Inshallah utapata mwenye kheir na wewe...
Farkhina nataka mke kama wewe! Unajitambua na unatambua maamrisho na makatazo ya dini yako.!!!
Inshallah utapata mwenye kheir na wewe...
Safi sana bi dada!Nsiukubali kwanini?
Mimi ni mtu na imani yangu ya dini nsipokubali vitu ambavyo vimeamrishwa ntakua mnafiki...
Kazi yangu itakua kuinama na kuinuka sawa na kufanya mazoezi instead of ibada....
Sio kuwa sina wivu la hasha..humuambia tu ukitaka kuoa mke wa pili uniambie tu na usinidharau....
Kila mtu ana rizki yake...
Mh mwanamke ameumbwa kukidhi matamanio na haja ya mwanaume
Leo unapiga kwa Aisha, kesho kwa Maryam keshokutwa zamu ya mke watatu
Daah ila kaamrisha Allah who I am to object?
Nsiukubali kwanini?
Mimi ni mtu na imani yangu ya dini nsipokubali vitu ambavyo vimeamrishwa ntakua mnafiki...
Kazi yangu itakua kuinama na kuinuka sawa na kufanya mazoezi instead of ibada....
Sio kuwa sina wivu la hasha..humuambia tu ukitaka kuoa mke wa pili uniambie tu na usinidharau....
Kila mtu ana rizki yake...
Ni kweli Mkuu, kama uko fit kiafya, naitaji kuwa na mwanaume daily tena wa kulala na kuamka naye! Awepo tuu hata kama hatufanyi kila siku lakini awepo!
Hii kuwa na uhakika saivi yupo kwa fulani anamshughulikia kama mimi noooooooooooo ngumu kumesa! Usingizi hauji! Bora wenzetu Christians wanavimada kwa siri na lazima arudi home!
Nyie mmezidi banah
si unaujua ule msemo wa kutesa kwa zamu?Kipya kinyemi farkhina, hapa bila shaka mke mdogo ndiye anayefaidi zaidi na si ajabu njemba inalala kwa mke mdogo mara nyingi zaidi ukilinganisha na hao wake wengine.
si unaujua ule msemo wa kutesa kwa zamu?
acha huyo mke mdogo afaidi zamu yake, maana naye itafika siku atakuwa siyo kipya tena kikija kipya kingine
I love you too BAK........:flypig::flypig::flypig::hug::hug: