Mh mwanamke ameumbwa kukidhi matamanio na haja ya mwanaume
Leo unapiga kwa Aisha, kesho kwa Maryam keshokutwa zamu ya mke watatu
Daah ila kaamrisha Allah who I am to object?
Naogopa hata kuwaza mambo haya mnayoyasingizia Mungu. Kweli Mungu amuumbe mwanamke ili awe kitulizo cha mwanamme tu! Huyu Mungu wa jinsi hii ni wa ajabu sana. Naamini na anisamehe tu kuwa ni; mbaguzi, mwonevu tena asiyejali uumbaji wake.
Hao wanawake wanao shea mkuki mmoja na mwenzake, tena bila taabu yeyote, anajua leo mwenzangu ameuchukua mkuki wangu anautumia atakavyo, halafu ajikunyate mwenyewe, Oh! It pains. Duh!
Hivi mnajua kuwa Mwanamke anao uwezo wa kuwachokesha waume 3 kwa siku? Iweje weye umkondeshe kwa siku 3 ndiyo akuone tena? Halafu ukija, awe tayari bila hiana kuupokea na kufurahia. Sijui, mi huwa nikijua kuwa kuna mtu katoka humo hata kama ni mumewe huwa sitamani tena. sasa mwanamke mbona hajisikii kinyaa? Poleni mnaoichangia hiyo mikuki