Kim Jong Un anaposema yupo tayari hatanii

Kim Jong Un anaposema yupo tayari hatanii

Yaani naomba dua usiku na mchana kiduku amuaibishe US maama wamezidi wao aliye wapa kibali kuwa police wa dunia ni nani? mimi nina nyumba yangu wewe jirani uje unilazimishe namna ya kuishi kwenye nyumba yangu ukikubali wewe sio mwana ume utakuwa fara
Hakika ushabiki ulikuwa wa kiwango cha juu sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ngoja apelekewe mvua ya risasi kwanza akili imkae sawa dikteta uchara yule.
Jidanganye marekani aina ubavu kwa NK kiduku anazo siraha hatari za kibaiolojia zilizo imalishwa sana na zakikemikali vita ikitokea wamarekani mil40 lazima wapotee na ndiyo utakuwa mwisho wa marekani kuwa super power hapa duniani hicho ndicho kinafanya USA kuogopa NK

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nikweli marekani kuishinda hiyo vita lazima itoe sadaka Mbili kubwa sana sadaka ya kwanza
1) Wamarekani mil 20 - 40 lazima wave
2) Marekani itakuwa siyo super power tena hadi vita kuisha
Last week, President Trump said that he hadn’t realized how difficult it would be to disarm North Korea until he received a short history lesson from Chinese President Xi Jinping. "After listening for 10 minutes, I realized it’s not so easy!"
Trump confessed to the Wall Street Journal.

WE ALL KNEW THAT MR. SMART GUY - GO TAKE A NAP

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kijeshi na mbinu Za kijeshi bado RPK hawawezi kushindana na USA Kuna sababu ya RPK kutulia na kuimarisha vitendea kazi kabla hajajibisha kwenye ground na USA
 
Sawa mwana sayansi alie bobea kwenye nyanja zote za ndotoni..uki amka usi tusumbue
Jidanganye marekani aina ubavu kwa NK kiduku anazo siraha hatari za kibaiolojia zilizo imalishwa sana na zakikemikali vita ikitokea wamarekani mil40 lazima wapotee na ndiyo utakuwa mwisho wa marekani kuwa super power hapa duniani hicho ndicho kinafanya USA kuogopa NK

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sishabikii vita vya nchi na wala sina upande ila ukweli unabaki, battle field itakuwa ni nchi ya korea yenyewe huku usa wakiendelea kula bata, tuwe wakweli usa military ni supreme!!
Acha ujinga tazama korona inavyo ifanya China ,NK anazo siraha hatari za kibaiolojia hizo tu akizitumia USA nzima inachanganyikiwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukitazama Iraq, Libya n.k US alifanikiwa kutokana na kuleta propaganda na raia wakajitenga. Sasa kwa Nkorea ni ngumu, wale watu wanaipenda nchi yao hususani wale viongozi wa juu ya majeshi, tusimfkirie US kumdondosha KIM.
Sahihi kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa kuwa facebook, apple, google na teknolojia kubwa zipo US basi wanatambua US ndo kama mungu.

Kuna mataifa hayapendagi majigambo kama marekani wanavyopenda na wana teknolojia ya hali ya juu sana.
Mfano?
 
Kwa kuwa facebook, apple, google na teknolojia kubwa zipo US basi wanatambua US ndo kama mungu.

Kuna mataifa hayapendagi majigambo kama marekani wanavyopenda na wana teknolojia ya hali ya juu sana.
Kwahyo huyo North Korea ana teknolojia kubwa kuliko USA au sio?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom