Kim Jong Un anaposema yupo tayari hatanii

Kim Jong Un anaposema yupo tayari hatanii

Hizi nguvu anazotumia kwenye teknolojia ya silaha zingetumika kwenye kuboresha zana za kilimo dunia ingekuwa paradiso
 
Tatzo lenu ni Moja. Hii nchi ni maskin sana Tena sana. Maisha ya wakorea ni magumu kuliko nchi yoyote hapa duniani. Ni wachache sana wanakula keki ya taifa hili. 70% ya bajeti yake inaenda kwenye jeshi. Wao nguvu na akili zote wamewekeza kwenye silaha na jeshi. Huku wenzao jirani wakula Bata sana. Wakorea kusini ni taifa la Dunia ya kwanza. Wanamaisha mazuri sana raia wao.

Sasa hapo ni matope ni akili

Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app
Watakuelewa basi?

Humu kumejazana vijana wapumbavu wanaoshabikia madikteta bila kujali walio chini yao wanateseka kwa kiwango gani. Maamuzi ya kipuuzi wanayasherehekea bila kujali matokeo yake kwakuwa wanaishi kwa shemeji zao.

Angalia mfano wanavyoshabikia vita ya Urusi na Ukraine kama Simba na Yanga na hawapendi ifike mwisho, halafu wakati huo huo hawataki serikali yao izungumzie madhara ya vita hiyo katika uchumi. Tuna kizazi cha ovyo sana.
 
Bwana mdogo hatakuwa na muda wa kuachia Himars wala Javelin zitambe, pigo lake moja tu litamaliza vita na kuirudisha Dunia zama za mawe

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
Watakuelewa basi?

Humu kumejazana vijana wapumbavu wanaoshabikia madikteta bila kujali walio chini yao wanateseka kwa kiwango gani. Maamuzi ya kipuuzi wanayasherehekea bila kujali matokeo yake kwakuwa wanaishi kwa shemeji zao.

Angalia mfano wanavyoshabikia vita ya Urusi na Ukraine kama Simba na Yanga na hawapendi ifike mwisho, halafu wakati huo huo hawataki serikali yao izungumzie madhara ya vita hiyo katika uchumi. Tuna kizazi cha ovyo sana.
Ohoo!!

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
Katika Nchi natamani kuzitembelea ni pamoja na hiyo...nakubali sana Sera za hao jamaa wana bara bara pana balaa kwa ajili ya kupitisha vifaru vyao pia hao wanalima vitu vingi sana...
 
Back
Top Bottom