Sijawahi kufanya utani kwenye mambo ya msingi
Katika suala ambalo mwamerka aliaibika ni hili la KimSahihi kabisa.
Naam maana aliwaka na kuingiza meli ya kivita katika bahari ya kimataifa tayari kwa mashambulizi, ila baada ya kuona upande wa pili unawasubiria kwa hamu akasepa kimya kimya kwa aibu kubwa.Katika suala ambalo mwamerka aliaibika ni hili la Kim
Nahisi hata raisi wa nchi ile amejifunzia kwa Kim.Ndio maana anawakazia sana mabeberu na hawamfanyi loloteNaam maana aliwaka na kuingiza meli ya kivita katika bahari ya kimataifa tayari kwa mashambulizi, ila baada ya kuona upande wa pili unawasubiria kwa hamu akasepa kimya kimya kwa aibu kubwa.
mabeberu hawajaamua tu kumkazia. a.k.a hawana interest nae.Nahisi hata raisi wa nchi ile amejifunzia kwa Kim.Ndio maana anawakazia sana mabeberu na hawamfanyi lolote
picha ya kwanza ni F-15C eagle. ambayo ni ya kimarekani. na north korea hawana hiyo ndege.Sijawahi kufanya utani kwenye mambo ya msingi
mabeberu hawajaamua tu kumkazia. a.k.a hawana interest nae.
siku wakiamua kumtafuta yeye nn mtu mdogo sana hapa duniani
hawamuwezi nani? JPM au kiduku?Huyo jamaa hawamuwezi.
Tatzo lenu ni Moja. Hii nchi ni maskin sana Tena sana. Maisha ya wakorea ni magumu kuliko nchi yoyote hapa duniani. Ni wachache sana wanakula keki ya taifa hili. 70% ya bajeti yake inaenda kwenye jeshi. Wao nguvu na akili zote wamewekeza kwenye silaha na jeshi. Huku wenzao jirani wakula Bata sana. Wakorea kusini ni taifa la Dunia ya kwanza. Wanamaisha mazuri sana raia wao.Kwa kuwa facebook, apple, google na teknolojia kubwa zipo US basi wanatambua US ndo kama mungu.
Kuna mataifa hayapendagi majigambo kama marekani wanavyopenda na wana teknolojia ya hali ya juu sana.