Kim Jong Un anaposema yupo tayari hatanii

Kim Jong Un anaposema yupo tayari hatanii

Team Mapanki...

Team Kiduku...

Team Andunje...

# UZALENDO KWANZA #
unasema uzalendo kwanza kwani north korea wanakujua wewe?
wa-tz tuna akili ndogo sana unajua kuwa hiyo vita itakuathiri hadi wewe? kwanini tunapenda kushabikia ujinga eti?
Sitaki hii vita itokee najua itaniletea hasara ya biashara ninazofanya nje ya nchi hususani china na korea.
Tafuta pesa kijana achana na ushabiki usio na faida
 
unasema uzalendo kwanza kwani north korea wanakujua wewe?
wa-tz tuna akili ndogo sana unajua kuwa hiyo vita itakuathiri hadi wewe? kwanini tunapenda kushabikia ujinga eti?
Sitaki hii vita itokee najua itaniletea hasara ya biashara ninazofanya nje ya nchi hususani china na korea.
Tafuta pesa kijana achana na ushabiki usio na faida
Mkuu biashara yako wewe, sisi inatuhusu nini? Kwani kufanya biashara lazma uende China?
 
unasema uzalendo kwanza kwani north korea wanakujua wewe?
wa-tz tuna akili ndogo sana unajua kuwa hiyo vita itakuathiri hadi wewe? kwanini tunapenda kushabikia ujinga eti?
Sitaki hii vita itokee najua itaniletea hasara ya biashara ninazofanya nje ya nchi hususani china na korea.
Tafuta pesa kijana achana na ushabiki usio na faida
Mi nauza silaha so inabid itokee vita nipat3 market ya uhakika na faida juu kwa nchi hizo
Onesha uzalendo
 
Mkuu biashara yako wewe, sisi inatuhusu nini? Kwani kufanya biashara lazma uende China?
kama china kuna masilahi zaidi? kumbuka hapa tz sio peke yangu ninayefanya biashara china wapo watanzania wengi sana wanaopeleka bidhaa china na kuchukua bidhaa china.
vita itokee petrol ipande mpaka 4000 per ltr ndio akili itawakaa vizuri.
vita haina macho ndugu yangu famicho
 
Hivi vita ikianza hakuna wa kuisimamisha.
katika vita haijalishi tu unasilaha kali na kubwa kiasi gani, vita inajali pia idadi ya silaha ulizo nazo, inawezekana Mapanki akawa na silaha nzuri lakini Je anazo za kutosha. Marekani anasilaha nyingi sana, akiamua kuziamisha zote katika wanja wa vita anauwezo wa kuondoa nchi kwenye ramani ya dunia, pia jua kuwa marekani inapigana huku inaangalia sheria za kimataifa au tuseme huku mkono mmoja umefungwa, kama ikiamua kujitoa ufahamu ikafunga macho, inaweza sababisha madhara makubwa sana, wala nchi kama korea isipate hata sekunde ya kutumia silaha zake, kisha ikajikaanga na silaha zake yenyewe.

CHAMUHIMU TUMUOMBE MUNGU AEPUSHE HII VITA, watanzania wengi tunashabikia kipuuzi tu hatujui madhara tutakayopata kwenye hii vita yatakuwa makubwa sana, kwa sasa bila vita lakini maisha yetu ni ya kuunga unga, mimi fani ninayofanyia kazi inahusiana moja kwa moja na dunia ya mbele, sasa patakapo kuwa na vita madhara nitayaona wazi. mfano rahisi ni kipindi hali ya amani ilipokuwa mbaya kenya kutokana na vishambulio vya alshabab, madhara yake yalichukua zaidi ya mwaka ku heal, sasa je hili la mabwana wakubwa je?

EEEE MUNGU USIKIE DUA ZETU, TUEPUSHE NA HILI BALAA. AMEN
 
Marekani hawezi kuanzisha vita na nchi ambayo hajaifanyia uchunguzi wa kutosha, mpaka sasa hana taarifa za siri za NK zaidi ya zile wanazozitoa wenyewe. Ingekuwa nchi nyingine mbona angeliamsha mapeema kabisa,ila nae anaogopa kwasababu nchi hiyo haifahamiki inanini cha zaidi
 
unasema uzalendo kwanza kwani north korea wanakujua wewe?
wa-tz tuna akili ndogo sana unajua kuwa hiyo vita itakuathiri hadi wewe? kwanini tunapenda kushabikia ujinga eti?
Sitaki hii vita itokee najua itaniletea hasara ya biashara ninazofanya nje ya nchi hususani china na korea.
Tafuta pesa kijana achana na ushabiki usio na faida
Najua wengi mtakwepesha hili Somo la uzalendo ni zaidi ya kuwa na jeshi kubwa lenye dhana za kisasa ni zaidi ya kuwa na Rais mnoko....ni zaidi ya kuwa mbabe wa umbo na tabia .....kwahiyo unasema uzalendo lazima msukomo wako hata wa ndani u acknowledge sio kuzungumza kutokana na sifa nilizozitaja hapo juu ......pia baada ya msukumo huo kufanya kazi tutakutambua kwa matendo .....maana wataalam wanasema "Katika Yale anayoyasadiki mwanadamu basi kinywa(mdomo) hunena kwa asilimia 20 tu...80% iliyobakia hutendwa kupitia non verbals zilizopo mfano body posture ...facial expression....body movement...na matendo yote yanayomhusu mwanadamu mfano ..akiwa mkimya sana...mkali sana...jeuri sana ...n.k
 
Hata wewe shabiki pia ndio
Maana ukafikisha mawazo yako
 
unasema uzalendo kwanza kwani north korea wanakujua wewe?
wa-tz tuna akili ndogo sana unajua kuwa hiyo vita itakuathiri hadi wewe? kwanini tunapenda kushabikia ujinga eti?
Sitaki hii vita itokee najua itaniletea hasara ya biashara ninazofanya nje ya nchi hususani china na korea.
Tafuta pesa kijana achana na ushabiki usio na faida
Itakuathiri ww peke yako
 
Ngoja apelekewe mvua ya risasi kwanza akili imkae sawa dikteta uchara yule.
 
katika vita haijalishi tu unasilaha kali na kubwa kiasi gani, vita inajali pia idadi ya silaha ulizo nazo, inawezekana Mapanki akawa na silaha nzuri lakini Je anazo za kutosha. Marekani anasilaha nyingi sana, akiamua kuziamisha zote katika wanja wa vita anauwezo wa kuondoa nchi kwenye ramani ya dunia, pia jua kuwa marekani inapigana huku inaangalia sheria za kimataifa au tuseme huku mkono mmoja umefungwa, kama ikiamua kujitoa ufahamu ikafunga macho, inaweza sababisha madhara makubwa sana, wala nchi kama korea isipate hata sekunde ya kutumia silaha zake, kisha ikajikaanga na silaha zake yenyewe.

CHAMUHIMU TUMUOMBE MUNGU AEPUSHE HII VITA, watanzania wengi tunashabikia kipuuzi tu hatujui madhara tutakayopata kwenye hii vita yatakuwa makubwa sana, kwa sasa bila vita lakini maisha yetu ni ya kuunga unga, mimi fani ninayofanyia kazi inahusiana moja kwa moja na dunia ya mbele, sasa patakapo kuwa na vita madhara nitayaona wazi. mfano rahisi ni kipindi hali ya amani ilipokuwa mbaya kenya kutokana na vishambulio vya alshabab, madhara yake yalichukua zaidi ya mwaka ku heal, sasa je hili la mabwana wakubwa je?

EEEE MUNGU USIKIE DUA ZETU, TUEPUSHE NA HILI BALAA. AMEN
Mkuu kama kupigika kimaisha tushapigika tayari, dona 2200 ushawahi sikia tangu uote kichwa!? Petrol hata ikiwa 5000/ltr maisha yataenda tu
 
Back
Top Bottom