SANCTUS ANACLETUS
JF-Expert Member
- Mar 5, 2016
- 3,336
- 4,692
Ni ukweli mtupu mkuu.Tuna bidhaa zetu toka China, South Korea,Taiwan, Vietnam na Malasyia sasa vipigo vikianza itatuathiri sana!
QUOTE="The oris, post: 20742556, member: 407686"]unasema uzalendo kwanza kwani north korea wanakujua wewe?
wa-tz tuna akili ndogo sana unajua kuwa hiyo vita itakuathiri hadi wewe? kwanini tunapenda kushabikia ujinga eti?
Sitaki hii vita itokee najua itaniletea hasara ya biashara ninazofanya nje ya nchi hususani china na korea.
Tafuta pesa kijana achana na ushabiki usio na faida[/QUOTE]
Ni
QUOTE="The oris, post: 20742556, member: 407686"]unasema uzalendo kwanza kwani north korea wanakujua wewe?
wa-tz tuna akili ndogo sana unajua kuwa hiyo vita itakuathiri hadi wewe? kwanini tunapenda kushabikia ujinga eti?
Sitaki hii vita itokee najua itaniletea hasara ya biashara ninazofanya nje ya nchi hususani china na korea.
Tafuta pesa kijana achana na ushabiki usio na faida[/QUOTE]
Ni
