Alex Tanzania
JF-Expert Member
- Jul 8, 2016
- 782
- 652
ONLY IN AFRICAHizi story za kwenye kahawa hizi, manunuzi ya vifaa vya hivi inategemea sana kipaumbele cha nchi. Korea Kaskazin wana uchumi mdogo sana kuliko Tanzania na hicho ndo kipaumbele chao wao cha uwekezaji. Nigeria ina uchumi mkubwa kuliko Israel lakini haimfikii hata robo katika uwekezaji kijeshi, ni suala la vipaumbele
