Kim Jong Un anaposema yupo tayari hatanii

Kim Jong Un anaposema yupo tayari hatanii

jamaa huwa mda wote anakagua silaha tu sijawahi kuona akikagua kiwanda ht cha nyanya
Huko walishamaliza, sisi leo mwenge unaenda kuzindua MASHINE Y KUKAMUA ALIZETI
 
Achaneni na Kim , amejitoa mhanga anaweza kujipiga kwanza i.e anashambulia kwake Pyongyang halafu anazipika NYC,Washngton Dc miji washirika wa Usa, ogpa mtu aliyemeza bomu halafu nakufuata si utamkimbia atalipuka wewe
Screenshot_20170420-143710.png

Trump amepotea kusikojulikana
 
Mimi nashangaa sana et korea ya kaskazini UCHUMI WAKE MDOGO HATA TANZANIA INAMZIDI HUYU MKOREA WEEE!!WEEE! ACHA KABSA MAMBO YAKO WALE NI MWISHO WA MATATZO. OK BASI TUFANYE SAWA JE TANZANIA INAUWEZO WA KUMILIKI MITAMBO YA NUKILIA NA SILAHA ZAKE ?Acha wehu wewe mi nadhani umechanganyikiwa nitakupeleka kwa wale machizi wanaowaombeaga ukaombewe ili UTOKE UCHIZI HUO.
Kodi bajaj muwahishe kwenye maombi.
 
Nimeiskia asbuh ya leo on Redio Tumaini

RIYADH — Defense Secretary Jim Mattis on Wednesday sought to squelch confusion surrounding the whereabouts of the USS Vinson — the aircraft carrier the Pentagon and White House had mistakenly stated was steaming toward North Korea — by labeling it an effort to be forthcoming that went awry.

Acha watembee bahari mpaka mafuta yatakata, Mawasiliano yalishakatwa , watajikuta wako ufukwe wa Nk kama wale wa tz walioteka ndege na maembe bolibo hapo JK inter airport
 
Aisee watu is wana akili ndogo sana,Kwenye vita sio silaha tuu zina determine ushindi wa cita,kuna vitu vingi,USA imeizidi PDRK katika kila nyanja mazee, North hana ICBM hata moja.
 
Aisee watu is wana akili ndogo sana,Kwenye vita sio silaha tuu zina determine ushindi wa cita,kuna vitu vingi,USA imeizidi PDRK katika kila nyanja mazee, North hana ICBM hata moja.
kuficha silaha au kutokuonesha silaha ulizonazo ni moja ya mbinu ya kivita. so huwezi jua korea kaskazini hawana ICBM. Hata kama hawana, wanaweza shambulia sehemu yeyote ile iliyo karibu na bahari kwa kusogeza nyambizi zao za kivita
 
kuficha silaha au kutokuonesha silaha ulizonazo ni moja ya mbinu ya kivita. so huwezi jua korea kaskazini hawana ICBM. Hata kama hawana, wanaweza shambulia sehemu yeyote ile iliyo karibu na bahari kwa kusogeza nyambizi zao za kivita
Sio kirahisi US anayo mifumo ya ku detect nyanbizi both za disel na nuclear powered submarine,zaidi US ana subs ambazo haziwezi kuwa detected
 
Sio kirahisi US anayo mifumo ya ku detect nyanbizi both za disel na nuclear powered submarine,zaidi US ana subs ambazo haziwezi kuwa detected
Unakumbuka mwaka jama mwishoni urusi alipeleka submarine hadi mexico gulf lakini marekani hakugundua hadi mrusi alipoondoa nyambizi zake?
 
Ngoja nikabet kwa N. Korea........asbh na mapemaaa mkeka utalipa
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Back
Top Bottom