1xbet Sports - EA
JF-Expert Member
- Feb 27, 2017
- 789
- 729
Hii issue wangeiwekacm bet ningekula hela.
factKama umeshindwa kumtunishia misuli bashite utamuweza uliyemtaja huyo

Waambie waelewe,kipanki hamna kituHapo hamna kitu, pigo moja tu toka USA huyo mapanki wanajeshi wake watamgeuka tu huyo
Kama umeshindwa kumtunishia misuli bashite utamuweza uliyemtaja huyo

Bash..te mmemshindwa mmeishia kubwanwaja tu,huyo mtamuweza,Jani Amerika imebakia Kuwa Mama Amina tu haina lolote hata tz tukijipanga tunaipiga tu
Hizi story za kwenye kahawa hizi, manunuzi ya vifaa vya hivi inategemea sana kipaumbele cha nchi. Korea Kaskazin wana uchumi mdogo sana kuliko Tanzania na hicho ndo kipaumbele chao wao cha uwekezaji. Nigeria ina uchumi mkubwa kuliko Israel lakini haimfikii hata robo katika uwekezaji kijeshi, ni suala la vipaumbeleHilo kombola moja tanzania haiwezi kulinunua hata labda msilipe mishahara miaka kumi
Mkuu Vita ni Strategy.wingi wa silaha si hoja.Mkuu kama kupigika kimaisha tushapigika tayari, dona 2200 ushawahi sikia tangu uote kichwa!? Petrol hata ikiwa 5000/ltr maisha yataenda tu
Team Mapanki...unasema uzalendo kwanza kwani north korea wanakujua wewe?
wa-tz tuna akili ndogo sana unajua kuwa hiyo vita itakuathiri hadi wewe? kwanini tunapenda kushabikia ujinga eti?
Sitaki hii vita itokee najua itaniletea hasara ya biashara ninazofanya nje ya nchi hususani china na korea.
Tafuta pesa kijana achana na ushabiki usio na faida
Elimu kweli ni ufunguo wa maisha hivi wakati unaandika ulikuwa unaelewa unachookiandikaaHizi story za kwenye kahawa hizi, manunuzi ya vifaa vya hivi inategemea sana kipaumbele cha nchi. Korea Kaskazin wana uchumi mdogo sana kuliko Tanzania na hicho ndo kipaumbele chao wao cha uwekezaji. Nigeria ina uchumi mkubwa kuliko Israel lakini haimfikii hata robo katika uwekezaji kijeshi, ni suala la vipaumbele
Mi nauza silaha so inabid itokee vita nipat3 market ya uhakika na faida juu kwa nchi hizo
Onesha uzalendo
Halafu bajeti ya tz kwa mwaka haizidi....we jamaa mwongoKamjini kadogo kama Manzese... budget ya ulizi NK kwa mwaka hajiwai zidi dolla billion 3....wakati USA haijawai bungua dolla billion 550. Tafakari
Hizi story za kwenye kahawa hizi, manunuzi ya vifaa vya hivi inategemea sana kipaumbele cha nchi. Korea Kaskazin wana uchumi mdogo sana kuliko Tanzania na hicho ndo kipaumbele chao wao cha uwekezaji. Nigeria ina uchumi mkubwa kuliko Israel lakini haimfikii hata robo katika uwekezaji kijeshi, ni suala la vipaumbele
Sasa mpaka mda huu wanangoja nini kumgalagaza...Waambie waelewe,kipanki hamna kitu
Atagalagazwa vibaya sana
Hao jamaaa ni mwisho wa matatzo acheni watune vifua wameteseka sana hadi kufika hapo walipo na japani pamoja na malekani wamewatesa sana hao wakorea walikuwaga pamoja hao ila marekani ndo alio wafitinisha wakatengana ila hapo walipofika wamejitaidi sana mungu awasaidie. kule kwao wamejazana wasomi na wataalamu sisi kwetu yamejazana makanisa na watu wana shindana nani aitwe nabiishetani na kisha et tunajifanya mungu anatupenda sana na kutusikiliza kuliko wengine .sasa kama hivyo ndivyo mbona hatufki mbali wakorea ya kaskazini wana abudu mungu kupitia selikali yao na wanafanikiwa sisi tumebakiza ujinga na upumbavu.Hapo sawa. Ni halali US aufyate mkia wake.