BUSH BIN LADEN
JF-Expert Member
- Mar 16, 2019
- 8,870
- 20,346
Dogo Kim ana mambomambo kama ya Penguin wa kwenye Gotham😀😆
Acha kuchonganisha majogooDogo kim,acha DT,alianzishe ili ummalize,aminia sana DOGO KIM,
;mia mia
umewahi kufika korea? aliyekwambia wao ni maskini ni nani?......Je waelewa kuwa nchi hii ni kati ya maskini Sana ulimwenguni? wanatumia hela zao kuuunda silaha tuu
Huyo anasikiliza propaganda za mabeberu.umewahi kufika korea? aliyekwambia wao ni maskini ni nani?......
nchi maskini inaweza kuunda makombora yake, magari yake, simu zake, n.k n.k....... hicho kipimo cha umaskini umepewa na nani?