Kilio na sala ya Lissu toka Ukonga: Watanzania mmelala? Mimi sijalala

Kilio na sala ya Lissu toka Ukonga: Watanzania mmelala? Mimi sijalala

Nawe unajihesabu kuwa miongoni mwa watu wa kuonya yeyote kwa fikra za kitumwa ulizo nazo?
Akili zangu hakuna mtu hata mmoja ndani ya ukoo wako anaye weza kumiliki hata asilimia 6% na kama yupo anaye miliki japo asilimia 6% basi muheshimuni sana.
 
sijaelewa, kwa nini unawaita watu wapumbavu? tarehe 10/29 wametoka wameuliwa kama wanyama, ulitaka wafanye nini tena labda, wavamie jela kumtoa au? una idea yoyote labda badala ya kuita watu wapumbavu? vp khs waliouliwa 10/29 wakipigania haki? na wale wanaotekwa na kuteswa kila siku kila mahali, vipi wale wanaojitokeza kila Tundu Lisu akiletwa mahakamani na wengine kupigwa na kuumizwa na polisi this is what they get kwamba ni wapumbavu? ...
Ndiyo nyinyi ni Wapumbavu tena Hadi Mama, Baba na Shangazi zenu wapumbavu article imejaa uongo eti analala kinyesi kiko mbele yake Tanzania Hakuna Jela ya hivyo Cells zote zina Vyoo na usafi unafanywa vizuri kila Gereza
 
Hata huyo lissu naye ni mpumbavu anavuna matokeo ya upumbavu wake ...walio jifanya marafiki zake dhidi ya JPM kina Samia na Rostam azizi , kikwete nk ...hadi kupigiana simu kupongezana kuhusu kifo cha JPM, ndiyo wanao mshikilia gerezani .....LISSU ALITUMIWA NA RAIA FEKI DHIDI YA MZALENDO JPM LEO ANAVUNA ALICHO PANDA.
True Lissu alitakiwa kushirikiana na Magufuli
 
Ndiyo nyinyi ni Wapumbavu tena Hadi Mama, Baba na Shangazi zenu wapumbavu article imejaa uongo eti analala kinyesi kiko mbele yake Tanzania Hakuna Jela ya hivyo Cells zote zina Vyoo na usafi unafanywa vizuri kila Gereza
Unazungumza na mimi, hao wengine hawajui kuwa kuna nguruwe kama wewe humu JF.

Samia na Genge lake lote ni wahalifu, na wote mtawajibishwa kwa uhalifu wenu mliowafanyia waTanzania.

Hilo ndilo la muhimu unalotakiwa kulijuwa wewe , siyo hao mashangazi na wengineo unaowahusisha hapa..
 
Kuna kitu kibaya kinaendelea kuhusu TAL

Mkuu 'Mshana Jr', unajuwa mada hii ilikotokea; hebu tupe mwanga kidogo kama unao uelewa.
Vinginevyo utajikuta unaingizwa choo cha kike hapa.

Hakuna asiyejuwa 'ill intention' waliyonayo hawa watu waovu juu ya Tundu Lissu na wote wanaopinga uovu wao.
Andiko hilo limekaa kishamba sana. Hebu lisome tena kwa uangalifu zaidi.
 
True Lissu alitakiwa kushirikiana na Magufuli
Ndiyo kosa alilo fanya hata baada ya kifo cha JPM aliendelea kupambana na Marehemu JPM kumbe maadui wa taifa waliokuwa wanamtumia walikuwa wanajipanga kumgeuka ....LISSU NI KIONGOZI KIPOFU ...ANGEKUWA NA MACHO YA AKILI ANGETAMBUA HAYA YOTE MAPEMA SANA.
 
Ndiyo kosa alilo fanya hata baada ya kifo cha JPM aliendelea kupambana na Marehemu JPM kumbe maadui wa taifa waliokuwa wanamtumia walikuwa wanajipanga kumgeuka ....LISSU NI KIONGOZI KIPOFU ...ANGEKUWA NA MACHO YA AKILI ANGETAMBUA HAYA YOTE MAPEMA SANA.
Tumsamehe na kumpigania kutoka uko aliko
 
Kuna sehemu walipuuza mambo sasa anatafuta simpath kutoka kwa watu ilikua kama mzaha anashangilia, mara watu wazima wanapiga makelele kulia kwamba hajala.

Now anasema ndani kumeoza maana yake hana imani hata na viongozi wenzake. Walioko nje watasaidia nini kama wandani ushawaona uozo. Hakuna serikali popote duniani inayoona hatari mbele yale na wakakuchekea HAIPO NA HAITOKUJA KUWEPO.
Ni serikali gani unayoiongelea wewe; inayotegemea mitutu ya bunduki?

Hiyo hiyo mitutu wataitumia waTanzania kuondoa takataka unayoiita wewe serikali.

Hivi wewe unapomwona Samia hapo unasahau kuwa mwili wake ule hauwezi kuvuja damu? Ni shaba moja tu, m inamaliza kazi na Tanzania inarudi mahala pake.
 
Mi nilitamani sana jamaa asiweke mapingamizi,ili kesi hii iishe haraka,kama kuhukumiwa ijulikane.. Yeye mwenyewe anachangia kesi yake iwe prolonged.

Kuna vitu vinachomekewa makusudi ili aweke mapingamizi, na kama asipoweka basi favor inabaki kwa serikali na kukaribisha kuhukumiwa huku shaka ikiwepo...
 
Kuna vitu vinachomekewa makusudi ili aweke mapingamizi, na kama asipoweka basi favor inabaki kwa serikali na kukaribisha kuhukumiwa huku shaka ikiwepo...
We unadhani hiyo mahakama itatenda haki?? Hata asipo akiweka hayo mapingamizi ni kazi bure tu,

Rejea kauli ya Rostam kuhusu mahakama za Tanzania.
 
Mkuu
Mi nilitamani sana jamaa asiweke mapingamizi,ili kesi hii iishe haraka,kama kuhukumiwa ijulikane.. Yeye mwenyewe anachangia kesi yake iwe prolonged.
LIssu hakuweka mapingamizi, hayo yaliwekwa na upande wa Jamhuri makusudi ili kuichelewesha kesi.
Lissu hoja zake alishinda direct.
Qmmmk samuya na uzao wake!
 
Back
Top Bottom