MARKYAO
JF-Expert Member
- Mar 30, 2012
- 673
- 682
na bado chagua tena CCM 2015 maisha bora hayo!
Waje vilaza kina ritz,ifweero, zemarcopolo,taswira,simiyu yetu,sumu na washirika wao wacomment hapa ili tufahamu uwezo wao wa kufikiri, kujenga hoja zenye maslahi kwa taifa na uzalendo wao kuhusu huu umeme