Janga janga jangaaaa jangaaa,we need to do something unajua hii serikali ishatuona sisi ni wapuuzi kwani kila watakachosema sisi ni ndio nazani umefika mda wa kusema nooooo.
Aisee hiyo ndo hali mpya kasi mpya..tunarudishwa kwenye vibatari
Yaani hata mie nimekumbana na maumivu hayo hayo. Yaaani 15000 nimepata unit 22. Kweli ni balaa. Tutafika kweli ?safari ndefuuuu!!!! Giza tororooo!!
eeh mungu ibariki ccm iendelee kufanya hivyo hivyo me natafuta kishoka siwezi mudu gharama hizo yaani nauwanza mwaka kwa kuumia najua wengine yatawakuta tu nyie nendeni mkanunue umeme mjionee yaliyojiri leo 2014
Duhhh,cha moto tutakipata,,mi nimenunua umeme wa 30,000 nimepata unit 62.30!Wakati kawaida wakikata service charge kwa 30,000 nilikuwa napata unit 95!Na bila kukata service charge nilikuwa napata unit 111.3,kweli huu mwaka majanga!Lazima turudi kwenye vibatari
na bado chagua tena CCM 2015 maisha bora hayo!
mbona walisema kugundulika kwa gas kutapunguza gharama za umeme yaani mwaka hata hatujaufaidi tayari tumeumizwa
eeh mungu ibariki ccm iendelee kufanya hivyo hivyo me natafuta kishoka siwezi mudu gharama hizo yaani nauwanza mwaka kwa kuumia najua wengine yatawakuta tu nyie nendeni mkanunue umeme mjionee yaliyojiri leo 2014
Toeni maoni tufanye nini sasa kwa hali hii? MIMI nashauri tuandamane
tehe tehe teheee mkuu bado unaishi kwa hizo ndoto za gasi,walitafuta pakupigia viboko vya tumbonimbona walisema kugundulika kwa gas kutapunguza gharama za umeme yaani mwaka hata hatujaufaidi tayari tumeumizwa
Mkuu rasilimali tunayo tatizo viongozi wametuzoea yaani wanajua kuwa wtz ni mazoba kila tunachoambiwa ni kukubali kwa hili tunahitaji kureact.gas imepanda from Tsh54000/= mpaka Tsh 65000/= jamani jaman.