Nimeshangazwa sana na ukimwa wa wanasiasa kuhusu kupanda kwa bei ya umeme. Ifike mahali wanasiasa wawajibike kwa wananchi dhidi ya ugumu wa maisha kila kukicha. Kupanda kwa eni ya umeme kutasababisha ugumu wa maisha na mfumko wa bei hivyo kuimarisha umaskini kwa wanachi. Au ni maandalizi ya uchaguzi mwaka 2015 ili kuwahonga kirahisi watu chumvi, kanga na sukari kwa sababu ya ugumu wa maisha?
Wako busy wakifurushana katika vyama vyao.Si unajua tena,Wao kwanza sisi baadaye!