Kilimanjaro: Uduni wa maisha wapelekea wasichana kuozeshwa kwa sukari na majani ya chai

Not always brother; mimi sio Mchagga but naifahamu Kilimanjaro almost wilaya zake zote, yaani Uchaggani hadi Upareni, naweza nisikubaliane sana na hicho chombo cha habari kilicho report but the truth is, Kilimanjaro inakuzwa sana kuliko uhalisia, maisha ya Kilimanjaro ni magumu.

Now kuhusu wadada wa kazi kutoka mkoa huo, yawezekana watu wakawa wanawaogopa kwasababu ya historia ambayo watu wamekua wakiwasema Wachagaa, kwamba ukiwa na mfanyakazi Mchaga anaweza kukuibia (kitu ambacho binafsi sikikubali sana ) and hence wanajikuta wanakua WAHANGA wa hi kazi. Umeisha wahi kusikia mtu wa kabila lingine kaajiri Mchaga may be kumuuzia duka au biashara yeyote? Unadhani wao hawapendi? Ni historia, either imepikwa au ya kweli but ndio wanajikuta wamekua WAHANGA.

Kuna nyuzi humu ndani watu wanasisitiza kabisa kwamba eti usioe MCHAGA? Zipo humu, itakua na kumfanya kua house girl? Ngumu. Siandiki haya kwamba labda na mimi nakubaliana nayo, hapana, as I said, Kilimanjaro hakuna sehemu unaweza kunidanganya, najua wilaya zake karibu zote, nawajua wasichana wa Kichaga (kuhusu wasichana wa kipare hawa siwajui sana ) tena wa wilaya tofauti tofauti, ningekua sijaoa, ningeoa msichana from Chagga, ni wazuri hadi wa tabia na ni waaminifu sana kwenye ndoa kama mwanaume umetulia vizuri but historia yao sasa; sijui ilipikwa au vipi, bado hua sielewi, hasa Machame.
Historia yao itazidi kuwatafuna..lisemwalo lipo mkuu..mimi nina ndugu zangu nawajua fika walioa wachaga ila kilichowakuta ni kuwahurumia tu..walikua na pesa sana mmoja alikufa mwingine aliachwa hohehae..akawa ni mtu wa kuomba omba tu...wachaga ni magaidi hawafai ni wezi..wakubwa kuanzia ngazi ya familia hadi taifa.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo hakuna ukweli sema vijana hawana mahali ya kuolea wazee wanaona walegeze masharti
 
Upo mkubwa, but Kilimanjaro inakuzwa sana, anyway nimesome tena vizuri kwenye huo mchango wangu, sijapaponda Kilimanjaro. Nimebahatika kutembelea mikoa mingi Tanzania, mikoa ambayo bado sijafika nadhani ni hiyomikoa masikini zaidi ya kina Ktavi, Lindi, Mtwara, pia ipo Ruvuma na Rukwa, huko sijawahi kufika but the rest of the regions in this country, naijua vizuri, Kilimanjaro pazuri though panakuzwa sana
Umehitimisha vizuri. Kilimanjaro inakuzwa na watu hadi wasomi wameaminishwa kuwa imeendelea kuliko mikoa mingine. Kama ni swala la uchumi nahisi wamasai na wasukuma ni matajiri kama tutatumia kigezo cha umiliki wa rasilimali lakini sehemu wanazoishi hakuna watu wa kuwasemea kwenye mitandao. Kama ni biashara nenda kila mkoa kama hujakuta wenyeji wa mkoa huo hawamiliki biahsara kubwa.
Kama umasikini unapimwa kwa watoto wa kike kuwa house girl tunasahau kwamba Kilimanjaro kuna wamachinga wa kike kuliko mikoa mingine ila tumewabatiza jina la wachakalikaji. Wanaume wakienda Xmass wanapachika mimba na kurudi Dar wanawaacha wasimbe lakini wanawapamba kwa jina la single mother.
Hili swala la kubweteka na kushadadia eti mkoa fulani una maendeleo wakati hata mwingine hajawahi kutoka kuona mikoa mingine mtajikuta mnapigwa moja bila.
 
Unafiki tuu. Sukari na majani huwa ni kama desturi yetu wachaga unapo kwenda kusalmia mahali.
 
Umehitimisha vizuri. Kilimanjaro inakuzwa na watu hadi wasomi wameaminishwa kuwa imeendelea kuliko mikoa mingine. Kama ni swala la uchumi nahisi wamasai na wasukuma ni matajiri kama tutatumia kigezo cha umiliki wa rasilimali lakini sehemu wanazoishi hakuna watu wa kuwasemea kwenye mitandao. Kama ni biashara nenda kila mkoa kama hujakuta wenyeji wa mkoa huo hawamiliki biahsara kubwa.
Kama umasikini unapimwa kwa watoto wa kike kuwa house girl tunasahau kwamba Kilimanjaro kuna wamachinga wa kike kuliko mikoa mingine ila tumewabatiza jina la wachakalikaji. Wanaume wakienda Xmass wanapachika mimba na kurudi Dar wanawaacha wasimbe lakini wanawapamba kwa jina la single mother.
Hili swala la kubweteka na kushadadia eti mkoa fulani una maendeleo wakati hata mwingine hajawahi kutoka kuona mikoa mingine mtajikuta mnapigwa moja bila.
NBS wana data za mikoa iliyo na standard nzuri ya maisha..inabidi uwalaumu wao kwa kuwa-rank Kilimanjaro kama mkoa wa pili nyuma ya Dar.
 
Hawa si ndio huwa wanatutambia Wana pesa Sana kwao lami hadi Vijijini sasa imekuaje?

To be honestly Wilaya za Mwanga,Siha,Same hakuna kitu pale labda Moshi na Hai
Kama mkoa wa Kilimanjaro uko kwenye hiyo hali mikoa mingine itakuwaje? Hivi Tanzania mnaijua kweli?
 
Umehitimisha vizuri. Kilimanjaro inakuzwa na watu hadi wasomi wameaminishwa kuwa imeendelea kuliko mikoa mingine. Kama ni swala la uchumi nahisi wamasai na wasukuma ni matajiri kama tutatumia kigezo cha umiliki wa rasilimali lakini sehemu wanazoishi hakuna watu wa kuwasemea kwenye mitandao. Kama ni biashara nenda kila mkoa kama hujakuta wenyeji wa mkoa huo hawamiliki biahsara kubwa.
Kama umasikini unapimwa kwa watoto wa kike kuwa house girl tunasahau kwamba Kilimanjaro kuna wamachinga wa kike kuliko mikoa mingine ila tumewabatiza jina la wachakalikaji. Wanaume wakienda Xmass wanapachika mimba na kurudi Dar wanawaacha wasimbe lakini wanawapamba kwa jina la single mother.
Hili swala la kubweteka na kushadadia eti mkoa fulani una maendeleo wakati hata mwingine hajawahi kutoka kuona mikoa mingine mtajikuta mnapigwa moja bila.
Kabisa, watu wanaishi sana Dar na wanakutana na biashara nyingi zikimilikiwa na Wachagga and hence wanadhani Kilimanjaro basi maisha kule ni rahisi sana, sio kweli. Tunakariri sana wabongo
 
Nasemaje acheni kutunanga wachagga, hiyo ya sukari kilo moja na majani ya chai unaweza kuta wazee ni wapole hawakutaka kukaza tu. Sasa leo tumekuwa wapole mnatunanga, acheni izo mambo za roho hizo.
 
Nimestaajabu sana kusikia taarifa hii kutoka katika mkoa ambao kila siku humu JF wanajinasibu kuwa ni mkoa wenye neema na tajiri.

Katika kipindi cha magazeti EFM nimesikia habari hii ya kufedhehesha kuwa wazee mkoani humo wamepigika hawana hata mia mbovu hivyo akijitokeza kijana mwenye sukari kilo moja na majani ya Tsh 200 anajipatia mke kabisa.
Nenda ukakusanye wake Sasa!
 
Back
Top Bottom