bht
JF-Expert Member
- May 14, 2009
- 10,336
- 1,862
mmh sasa category jamani? Anyway sijajua kwa kweli...award ya marehemu ipo?
mmh sasa category jamani? Anyway sijajua kwa kweli...award ya marehemu ipo?
Hivi huyo msema chochote ni nani?
Nimekipenda kivaz cha queen darln
Wacha kabisa dogo katokea bana...
mbona mie sioni watu...except for wale wanaokuja jukwaani...lol
Jamani tuache utani ITV wanajitahidi kuonesha hili tukio. Yani picha zimetulia kiukweli big up itv good work and keep it up.
Jamani tuache utani ITV wanajitahidi kuonesha hili tukio. Yani picha zimetulia kiukweli big up itv good work and keep it up.
ITV wapo juu hawatumii camera za simu kurusha live.
Mmh hata hawapatiii bana wanavoimba...Kwa hiyo sasa ni mchuano kati ya Sikinde na Msondo?
Yummy yummy ulitaka aongeze leggings ka Luiza Mbutu?Sijakielewa....tunavaa nguo fupi ila hiyo sijaielewa bado kwa hapo!!!
Chalz baba umemuona???Alllrighty now Chokoraaaa
ITV imetulia sana naona ni magwiji kwa live event itabidi wawape tuition clouds na tbc
Yummy yummy ulitaka aongeze leggings ka Luiza Mbutu?