Kilimanjaro Music Awards 2012

Ngoma ya kitoto hii! Najua wazee wenzangu (sihitaji kuwataja maana wanajulikana) nao watakubaliana nami!
 
Wimbo bora wa kiswahili(Upande wa band),mshindi ni??? Hamza kalala na shamim zeze awatangaza Dunia daraja
(Twanga Pepeta)
 
Nasubiri mnijuze wimbo bora wa hipp hop. Ule wa Jay Mo na P.Funk (Famous) naupa nafasi kushinda.
Mie nipo Nanjilinji navua Uduvi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom