Kilimanjaro Music Awards 2012

Nani kamuona Nyoshi El Sadat? Au huyu hawezi kuwepo kwa vile si Mtanzania?

Jamaa swagga zake hunifurahisha sana kupita maelezo.
 
"Eti wansema mimi ni midfield kama fabrigas nina nguvu na stamina kama ronaldooooooo"--Chokoraaaaa
 
Hahahaa bht hapana aiseee ila ingekua ndefu kidunchu yani ile ni **** nje kabisa jamaniiiii daaah
Heheheee Luiza unamkumbuka enzi za 'tumetoka kwetu mahenge...?'
Sasa huyo mwengine wa mujini bana...lol
 
Nimechukiaaaaaaaaaaaaaaaaaa hakuna wimbo ninaouchukia kama huooooo HAKUNAGA!!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom