Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 37,436
- 25,577
una utani na redio clouds
sema taratibu mkuu watakusika bana.
una utani na redio clouds
Chalz baba umemuona???
Nimeipenda hii sasa....
hao tbccm wameishiwa serikali imefisika. halafu wote hao si wafu sasa sijui kama wafu wanafundishika.
Yummy yummy ulitaka aongeze leggings ka Luiza Mbutu?
I think akina Charz Baba wame'do' better
I think akina Charz Baba wame'do' better
Heheheeee mwambie Chalz Baba nimesema 'well done...' looool!Hahahaaa nimemuona anamuimba Iba
Heheheee Luiza unamkumbuka enzi za 'tumetoka kwetu mahenge...?'Hahahaa bht hapana aiseee ila ingekua ndefu kidunchu yani ile ni **** nje kabisa jamaniiiii daaah